MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari

Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM:  MFANYABIASHARA na mmiliki wa kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama, amempongeza  Rais Samia Hassan Suluhu, kwa hotuba yake ambayo aliitoa alipokutana na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam.
 Msama ameyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa imeweza  kugusa makundi yote.
Mkurugenzi huyo amesema Rais katika hotuba yake hiyo amezungumza mengi na yenye kuliponya taifa kutoka hapa lilipo.
“Kwa mliofuatilia Rais hakuna mahali ambapo hajagusia,hivyo mwenye macho aone na mwenye masikio na  asikie,”amesema Msama.
Kwa mujibu wa Msama, hakuna kiongozi anayependa wananchi wake waishi kwa shida na bila amani.
“Hata ukirudi nyuma ukisoma maandiko yote aliyekiuka maagizo ya mfalme kwa ajili ya taifa alichukuliwa hatua kali sana na ndivyo ilivyo hata leo hakuna kiongozi anaweza kubali mtu kukiuka maagizo ya taifa.
“Hivyo natoa rai kwa wazee,wazungumze na watoto wao na wajukuu zao wahakikishe hawadanganywi na walio mataifa ya nje kwa kuwa  wao wapo huko na watoto wao wanaishi kwa amani,”amesema Msama.
Aidha aliwaomba vijana kuacha kutumika,kwa kile alichoeleza kuwa  kuna ambao hawaitakii mema nchi hii  na mwisho wa siku wao  ndio watakaoumia na kupata shida.
“Kuna usemi usemao asiyefunzwa na wazazi hufunzwa na ulimwengu ambapo katika harakati za kuvunja sheria kuna vyombo mbalimbali vya dola vitashughulika na nae wakiwemo Jeshi la Polisi,”ameeleza.
Kwa upande wa  viongozi wa dini, Msama amesema Mungu hajawatuma kuhubiri siasa bali kuhubiri dini  na kukemea maovu.
Kutokana na hilo aliwashauri kama huwataki kuwa watumishi wavue hayo majoho ya kitumishi na kwenda kwenye vyama vya siasa.
“Viongozi wa dini acheni kutuharibia nchi kwani, tunataka kuona wanachi wakienda kwenye nyumba za dini kumtukuza Mungu wao na walio na shughuli nyingine kama biashara  wakafanye pia.
“Kwa upande wa wanaharakati wanaotetea haki za binadamu,amewataka  nao wawasihi watu kutii sheria za nchi ili kuepuka kuingia katika mikono ya dola.
“Watanzania wenzangu ,tusikubali kutumika hatuna nchi nyingine ya kwenda hivyo tuipende nchi yetu na tuipende Tanzania  yetu,”amesisitiza Msama.

You Might Also Like

GST Yaelezea Mafanikio Yake

Miradi ya Maendeleo Isimamiwe kwa Uadilifu

Viongozi Bora Hujenga Mazingira Wezeshi Kwa Wahadhiri – Profesa Nombo

UDSM Yaipaisha Lugha Ya Kichina kwa Kuanzisha Digrii Ya Awali Ya Kichina, Kiingereza

Sekta Binafsi Zazuia Wafanyakazi Kujiunga Na Vyama Vya Wafanyakazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
Mpango Wa Taifa Wa Teknolojia Uko Mbioni Kuja-Serikali
Habari December 3, 2025
Petroli Yaendelea Kushuka Bei Desemba
Habari December 3, 2025
Kikwete Awahimiza Wahitimu wa UDSM Kuwa Mabalozi Wazuri wa Chuo 
Uncategorized December 2, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?