MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM
Habari

Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

DODOMA: MKUTANO Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), unatarajiwa kumpata mrithi wa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)-Bara, Abdulrahman Kinana.

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Amos Makalla, amesema hayo leo, Januari 7, 2025  jijini Dodoma alipozungumza na waandishi wa Habari, ameongeza kuwa mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Januari 18 na 19, mwaka huu jijini Dodoma.

Amesema nafasi hiyo ya Makamu Mwenyekiti Taifa, iliyoachwa wazi na Kinana, mrithi wake atachaguliwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu huo unaotarajiwa kufanyika.

Makalla amesema kabla ya Mkutano Mkuu, kutakuwa na vikao vya Kamati Kuu ya CCM vitakavyofanyika Januari 16, mwaka huu, kama sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu

Julai 29, mwaka jana Kinana alijiuzulu wadhifa huo baada ya kuomba mara kadhaa kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan ambaye aliridhia ombi hilo.

You Might Also Like

TARI Yaja Na Jawabu 88 Juu Ya Tindikali, Chumvi Kwenye Udongo

Huduma ya Mahakama ya Mwanzo yasogezwa Wilaya ya Ubungo

TPDC  Yaibuka Mshindi Sabasaba Yapata Tuzo Ya Tano

Ridhiwani Kikwete Awataka Vijana Kuwa Mabalozi Wazuri wa Amani

Kampuni ya Kichina CCCC yatoa msaada wa vitabu UDSM

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Nchemba Afungua Mafunzo Ya PAC
Next Article Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?