MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mpango Wa Taifa Wa Teknolojia Uko Mbioni Kuja-Serikali
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mpango Wa Taifa Wa Teknolojia Uko Mbioni Kuja-Serikali
Habari

Mpango Wa Taifa Wa Teknolojia Uko Mbioni Kuja-Serikali

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

SERIKALI imesema iko mbioni kutengeneza mpango wa taifa wa teknolojia ambao utapambanua mahitaji ya teknolojia  yalivyo ili kwamba vijana waweze kuleta bunifu zenye kujibu mahitaji ya jamii.

Kaimu Katibu Mkuu, kutoka Wizara ya Elimu Sayansi Na Teknolojia, Ladislaus Mnyone amesema hayo wakati akitoa zawadi na vyeti kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT).

Habari Picha 10493

Akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Carolyne Nombo, amesema mpango huo katika miaka 10-3 ijayo  utaongeza fursa  na kusaidia wabunifu kulitoa taifa kutoka  hatua moja hadi nyingine  hususani kwenye eneo la ubunifu.

Amesema nchi  ya Tanzania ina vituo vya umahiri 12 na kuwataka wabunifu kutoka DIT kuvitumi katika kushiriki kwenye masuala mbalimbali ili waweze kulelewa.

Amewataka vijana kutumia vizuri fursa  ya vituo vya umahiri vilivyopo  nchini ili kuleta chachu ya maendeleo ya sayansi na teknolojia nchini.

Habari Picha 10494

Kuhusu Taasisi hiyo kuwatambua wale waliofanya vizuri amesema ni  moja ya eneo linawezesha kuzalishwa kwa wingi teknolojia ambao zitatatua mahitaji yaliyopo katika jamii.

Kwa upande wake, Mkuu wa Chuo, Profesa  Preksedis Ndomba amesema chuo hicho hutoa zaidi za aina mbili kwa wanafunzi wanaofanya vizuri kwenye masomo  yao ambayo hutoa chachu kwao ili kuongeza bidii.

Amewataka wanafunzi hao ambao wanamaliza masomo yao kuwa kadri watakavyokuwa wakijionesha kwa wadau wao katika utendaji wao ndio hatua mojawapo ya kutangaza ubunifu na huduma wanayotoa.

“Hapa tunawapa cheti na zawadi za kuwatambua lakini haimaanishi kuwa katika Maisha ndio mnatambulika kuwa bora, jambola msingi ni kwamba huduma mnayotoa ndiyo itakayowatangaza,” amesema  Profesa Ndomba.

Habari Picha 10495

Amewataka wanafunzi wanaosoma DIT kuzingatia maelekezo kutoka kwa walimu na zaidi kuwa na nidhamu, uchapakazi na ustahimilivu ili kuwa na mchango  kwa Taifa.

 

 

 

You Might Also Like

Ridhiwani Aongoza Waliojiajiri Kujiunga, Kuweka Akiba NSSF

Wanaosimamia Mitandao Ya Serikali Wadhibiti Usalama Wake

Tanzania Yapokea Faru 18 Kutoka Afrika Kusini

CMA yawataka wafanyakazi walioachishwa kazi kuwasilisha mgogoro ndani ya muda

China Yaendelea Kunufaisha Afrika, Wakati Marekani Ikikatiza Uwekezaji Katika Bara Hilo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Petroli Yaendelea Kushuka Bei Desemba
Next Article Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
Petroli Yaendelea Kushuka Bei Desemba
Habari December 3, 2025
Kikwete Awahimiza Wahitimu wa UDSM Kuwa Mabalozi Wazuri wa Chuo 
Uncategorized December 2, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?