MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mkenda: Maendeleo ya Taifa Yanategemea Sayansi na Teknolojia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mkenda: Maendeleo ya Taifa Yanategemea Sayansi na Teknolojia
Habari

Mkenda: Maendeleo ya Taifa Yanategemea Sayansi na Teknolojia

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda amesema nchi zinasonga mbele kwa kuwekeza kwenye sayansi, teknolojia na ubunifu
Amezungumza hayo mkoani Dar es Salaam, kwenye Mkutano wa Mawaziri na Waandishi wa Habari ulioandaliwa na Idara ya Habari – Maelezo
Amesema elimu ambayo haiandai wana sayansi wa nchi haiwezi kusonga mbele.kwani haiwezekani kuwa na madaktari wazuri bila kuwa na wana sayansi
Amesema katika mageuzi ya elimu nchini,  msukumo mkubwa umewekwa kwenye mkondo wa sayansi
Pia amesema ili vijana wapende sayansi, waliweka vivutio mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuanzisha ‘Samia Scholaship’.
“Rais Samia Suluhu Hassan alisema, vijana wanaofanya vizuri katika sayansi kidato cha sita, wasomeshwe,” amesema.
Alisema Samia scholarship inavutia vijana wenye uwezo wasome sayansi kwa kuwa bila hivyo taifa haliwezi kuendelea.
Kwa upande mwingine amesema elimu nyingine ni ya akili unde, mambo ya data sayansi, kwa kuwa dunia inaenda kasi hata masuala ya usalama wa nchi, uchumi. kilimo, benki vinategemea masuala ya akili unde
“Tanzania tuna vyuo vyetu tunafundisha lakini tumeamua kuwapeleka nchi zilizoendelea zaidi yetu,” amesema.
Kwa mujibu wa Profesa Mkenda serikali imepeleka vijana 50 Chuo Kikuu cha Nelson Mandela kilichopo Arusha,  kama kambi ya mafunzo ya kuwaandaa ili waje kwenda kujifunza zaidi nje ya nchi.
Alisema vijana hao, watapelekwa nje kwa utaratibu wa serikali , awamu ya kwanza itaondoka mwisho wa Januari 2026, kwenda Chuo Kikuu Afrika Kusini, na ya pili itaondoka Septemba

You Might Also Like

Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi

TANESCO Tunathamini Wadau Wa Maendeleo- Nyamo-Hanga

Dkt Natu Mwamba Ashuhudia Utiaji Saini CRDB Na Taasisi Tatu Za Fedha Kimataifa

UDSM  Yakamilisha Utafiti Wa Dawa Ya Kusafisha Sumu Kwenye Maji

October 2, 2024

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt. Ikomba wa CWT Aeleza Jinsi Elimu Ilivyobadilisha Taswira ya Tanzania kwa Miaka 64
Next Article Spika Zungu Atangaza Kifo Cha Mbunge Wa Peramiho, Jenista Mhagama
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waomba Ajira 12,000 Kwenye Utumishi Wa Umma Kuanza  Kusailiwa  
Habari December 12, 2025
Uwekezaji Mkubwa Uliofanywa Na Serikali, Kituo Cha Gesi Asilia Mlimani Waleta Nafuu Kwa Wananchi
Habari December 12, 2025
Spika Zungu Atangaza Kifo Cha Mbunge Wa Peramiho, Jenista Mhagama
Habari December 11, 2025
Dkt. Ikomba wa CWT Aeleza Jinsi Elimu Ilivyobadilisha Taswira ya Tanzania kwa Miaka 64
Habari December 9, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?