MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mikoa mitatu kuanzishwa vituo vya gesi asilia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mikoa mitatu kuanzishwa vituo vya gesi asilia
Habari

Mikoa mitatu kuanzishwa vituo vya gesi asilia

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: SHIRIKA la Maendeleo ya Petrol (TPDC), limepanga kuanzisha vituo vya gesi asilia mikoa ya Pwani, Morogoro na Dodoma katika mwaka huu wa fedha 2024/2025.
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano ma Mawasiliano wa TPDC, Marie Mselem amesema hayo alipzungumza navwaandishi wa habari katika Maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea jijini Dodoma.
Amesema kwa kuanzisha vituo hivyo, hkutasaidia mtu kusafiri
kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma kwa kutumia gesi asilia badala ya mafuta, pia itawqfanya watu wengi kuendelea kubadilisha mifumo ya magari yao kutoka kwenye matumizi ya mafuta  kwenda kwenye gesi.
“Vituo hivyo vitasaidia mtu kusafiri kutoka Dar es salaam hadi Dodoma kwa usafiri unaotumia gesi asilia. Usafiri huu ni mzuri na salama kwasababu hautumii gharama kubwa na ni rafiki kwa mazingira,” amesema.
Kwa upande wake Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya Sophia Mwakagenda ameipongeza serikali kwa kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi.
Amesema serikali imeendelea kutenga bajeti kwa ajili ya kujenga vituo vya kujazia gesi asilia ili kurahisisha upatikanaji wa huduma hiyo Kwa wananchi.
“Serikali inastahili pongezi kwa kuendelea kuweka Nguvu kubwa katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi na Sasa serikali inaendelea kujenga vituo vya kujazia gesi hiyo ili kuwahakikisha wale wote waliobadilisha mfumo kutoka katika matumizi ya mafuta kuwa huduma hiyo  ipo,”amesema Msellemu

You Might Also Like

TAKUKURU, Manispaa Ubungo Yawafikia Waendesha Bajaji, Bodaboda

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

JOWUTA : Waandishi Vitendeeni Haki Vyama Vyote

Trump Amteua Mtendaji Mkuu White House, Safari Ya Kuunda Timu Yake

Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TPHPA: Toeni taarifa mapema milipuko ya kwelea kwelea, nzige, viwavijeshi vamizi inapotokea
Next Article TSB, Wizara ya kilimo yaweka mpango wa vituo vya usindikaji mkonge
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Michezo Yapunguza Uhalifu Dodoma
Habari May 25, 2025
Serikali Imetoa Ruzuku Ya Asilimia 20 Hadi 50 Kwenye Mitungi YA Gesi – Kapinga
Habari May 25, 2025
Program Ya Maeneo Yaliyochakaa Nchini Yaandaliwa
Habari May 25, 2025
CCM Kuwezesha Wananchi Kufuatilia Mkutano Mkuu Maeneo Ya Wazi
Habari May 25, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?