MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Miaka Minne Ya Samia Na Sekta Ya Elimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Miaka Minne Ya Samia Na Sekta Ya Elimu
Habari

Miaka Minne Ya Samia Na Sekta Ya Elimu

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Danson Kaijage

DODOMA: WIZARA ya Elimu Sayansi na Teknolojia imefanya mapinduzi makubwa katika sekta ya elimu katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Kwamba katika kipindi hicho imeongeza bajeti kubwa kwa ajili uwezeshaji wa elimu ya Juu.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia  Profesa Adolf Mkenda amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari – MAELEZO kuelezea mafanikio ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita.

Amesema, “Ili taifa lolote liweze kuwa na maendeleo ni lazima lijengwe kwa misingi ya Elimu ambayo ina Sayansi na Teknologia ikiwa ni pamoja na ujuzi mbalimbali katika kuelewa mambo na kuzalisha kwa lengo la kuongeza uchumi wa nchi na uchumi wa mtu mmoja mmoja”.

Pia amesema kwa sasa mwanafunzi wa kitanzania atalazimika kusoma elimu ya lazima kwa miaka 10 ambapo akijiunga na kidato cha kwanza ataweza kujiunga na masomo ya Amali na Elimu ya Jumla.

amesema mwanafunzi atakayejiunga na masomo ya amali atajifunza masomo ya Ufundi na ufundi stadi pamoja na masomo mengine huku atakayejiunga na masomo ya jumla atajifunza masomo ya vitendo na masomo ya kawaida.

Vile vile amesema serikali imeanzisha somo la lazima ambalo kila mwanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne ni lazima ajifunze masomo ya ujasiliamali ikiwa ni pamoja na kuelewa umuhimu wa  Mamlaka ya Mapato Tanzania na namna ya umuhimu wa kusajili kampuni au biashara mbalimbali.

Kuhusu lugha amesema kwa sasa kuanzia darasa la kwanza wanafunzi wataweza kufundishwa lugha ya kiingereza bila kujali sheria za lugha hiyo ili kumjengea mtoto uwezo wa kujieleza.

Akizungumzia mikopo kwa Elimu ya Juu, amesema Wizara inatambua kuwepo kwa changamoto za utoaji mikopo na hiyo inatokana na ujazaji wa taarifa za mikopo lakini na kuona ni nani anastahili kupata mkopo bila upendeleo.

You Might Also Like

Kamati Ya Bunge Ustawi Na Maendeleo Ya Jamii Yaridhishwa Wananchi Wanavyofikiwa

Ridhiwani Afanya Mazungumzo Na Balozi Wa China Nchini, Mingjian

Wahitimu 3,561 wa Mafunzo Ya Huduma Za Afya Ngazi Ya Jamii,Wapatiwa Vitendea Kazi

Rais Samia kufungua kikao kazi cha watendaji serikalini

Serikali Yazindua Mafunzo Ya Mtandao Ya Afya Moja

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Chalamila Atoa Wiki Mbili Wafanyabiashara Ndogo Ndogo Kufungua Njia Kariakoo
Next Article JMAT Yatoa Neno Yanayoendelea Kwa Vijana Wa Kenya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari
Habari September 13, 2025
Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba
Habari September 12, 2025
TEA Yatathmini Utekelezaji na Kupanga Mwelekeo Mpya Kupitia Baraza la Wafanyakazi
Habari September 12, 2025
Manara: Sitapambana na Wafanyabiashara, Nitawatetea
Habari September 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?