MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mgombea Urais SAU Aahidi Kuongoza Nchi Kwa Hofu Ya Mungu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mgombea Urais SAU Aahidi Kuongoza Nchi Kwa Hofu Ya Mungu
Habari

Mgombea Urais SAU Aahidi Kuongoza Nchi Kwa Hofu Ya Mungu

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu

MGOMBEA Urais kupitia Chama cha Sauti Ya Umma (SAU), Majalio Kyara amesema akichaguliwa kushika wadhifa huo ataongoza nchi kwa hofu ya Mungu akitengeneza Taifa na watumishi wenye hofu ya Mungu.

Amesema hayo Dar es Salaam katika uzinduzi wa kampeni ya chama hicho kwa ajili ya kugombea nafasi ya Urais, Wabunge na Madiwani katika uchaguzi  mkuu unaotarajiw akufanyika Oktoba 29,2025.

Amesema  viongozi wanahitajika kuongoza taifa kupitia misingi ya wazee yenye kuondoa misingi iliyopotea,ikiwemo maadili uadilifu , ili kuwa na upendo, uwajibikaji, uadilifu,  haki na bila dhuluma ili kutengeneza taifa lenye hofu ya Mungu.

Habari Picha 9320

Kuhusu uchaguzi amesema SAU inaongozwa na  ilani  yenye  nguzo tatu, ikiwemo kilimo, viwanda na teknolojia.

“Kilimo ni kama damu kwenye  mwili wa binadamu, kilimo kipewe umuhimu, kwani  kupitia kilimo tunatatua changamoto nyingi kwenye taifa  ikiwemo  afya, ajira na uchumi,” amesema Kyara.

Amesema SAU inahamasisha kilimo hai ili wananchi wa Tanzania wapate chakula kilicho  bora, ambapo wataondoa matatizo mengi ya kiafya.

Habari Picha 9319

“Upo umuhimu mkubwa wa kupambana na afya kupitia kwenye kilimo kwa kuangalia kilimo hai na kurejesha mbegu za asili,” amesema na kuongeza kuwa afya ya mtanzania ni jambo la kupigania kwa nguvu zote.

Aidha amesema ipo haja ya kufungua fursa za kiuchumi Tanzania, kwa kuwa kuna mkwamo mkubwa,kukihitajika wawekezaji wazawa.

Habari Picha 9321

Amesema akichaguliwa kuingia madarakani atatengeneza mifumo ambayo uchumi wa Tanzania unashikwa na wazawa.

Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama hicho, Safia Mussa amesema chama hicho kinajikita kuimarisha viwanda, kilimo na teknolojia, wakitaka wakulima kupata pembejeo.

Amesema wakichaguliwa hawatowadanya wananchi bali watakuwa nao bega kwa bega ili wajue matatizo yao.

 

 

You Might Also Like

Profesa Ndunguru: Tumewezesha Usafirishaji wa Mazao Mbalimbali Yenye Thamani ya Trilioni 15.6

Wagonjwa wa Magonjwa Yasiyoambukiza waongezeka Temeke

Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo

Tume Yapongeza OCPD kwa Mabadiliko ya Sheria

Tanzania Yapokea Faru 18 Kutoka Afrika Kusini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Balozi Sirro: Bila Amani, Maendeleo Hayapo Kigoma
Next Article Wanawake Wang’aa Mchakato Uchaguzi Mkuu 2025
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari
Habari September 13, 2025
Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba
Habari September 12, 2025
TEA Yatathmini Utekelezaji na Kupanga Mwelekeo Mpya Kupitia Baraza la Wafanyakazi
Habari September 12, 2025
Manara: Sitapambana na Wafanyabiashara, Nitawatetea
Habari September 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?