MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Matokeo Ya Usaili TRA Kutangazwa April 25,2025
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Matokeo Ya Usaili TRA Kutangazwa April 25,2025
Habari

Matokeo Ya Usaili TRA Kutangazwa April 25,2025

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema matokeo ya usaili wa maandishi kwa watahiniwa walioomba nafasi za kazi katika Mamlaka hiyo, yatatangazwa Aprili 25  mwaka huu.
Imesema matokeo hayo ya usaili uliofanyika  Machi 29 na 30 mwaka 2025  yatatangazwa kupitia Tovuti ya TRA (www.tra.go.tz) baada ya kuwasilishwa na Mshauri elekezi Aprili 23, mwaka huu.
Akizungumzia mchakato huo wa ajira za TRA  Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimali watu na Utawala  Moshi Jonathan Kabengwe amesema baada ya majina kutangazwa Mei 2 hadi 4  utafanyika usaili wa Vitendo kwa Madereva na Waandishi Waendesha Ofisi.
Amesema baada ya Usaili wa Vitendo utafuata Usaili wa mahojiano kwa kada nyingine ambao utafanyika kwa siku tatu kuanzia Mei 7 hadi 9  2025 ambapo watakaofanikiwa kushinda Usaili huo wataarifiwa  Mei 18,.2025 na kuanza mafunzo Elekezi Mei 22,2025 mpaka  Juni  02,2025 watakapoajiriwa na kuanza kazi rasmi.
 Kabengwe ameeleza kuwa katika mchakato wa usaili maombi yaliyokidhi vigezo yalikuwa 112,952 yakaongezeka maombi 71 baada ya kukata Rufaa na kufikisha idadi ya maombi 113,023 yaliyohusisha waombaji 86,314 na waliofanya Usaili wa maandishi ni waombaji 78,544 sawa na asilimia 91 ya waombaji wote na waombaji 7,770 sawa na asilimia tisa hawakufika kwenye Usaili kwa sababu mbalimbali.
Ameeleza kuwa Sera ya TRA ni ajira sawa kwa wote na ajira zilizotangazwa zitazingatia sifa na vigezo vya muomba kazi bila kujali hali ya muhusika kwamba ni Mtoto wa Maskini, Mtoto wa Kiongozi au Mtoto wa Mtumishi wa Umma ndiyo maana vituo vya Usaili viliwekwa kwenye mikoa nane na Zanzibar ili kusogeza huduma karibu.
Aidha  Kabengwe ameshukuru kuwepo kwa mrejesho kutoka kwa Jamii kupitia njia mbalimbali na kueleza kuwa kama yupo mwenye Taarifa zinazoashiria kuharibu zoezi la ajira awasiliane na TRA kupitia Sikika App, namba za Simu Bure 0800 750 075 / 0800 780 078 / 0800 110 016 au Whatsapp  0744 233 333 au E-mail huduma@tra.go.tz / services@tra.go.tz au atoe Taarifa TAKUKURU

You Might Also Like

Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu

Dkt  Biteko ashiriki  Kikao Cha Mawaziri  wa Nishati  Uganda

Msisubiri Kupewa Amri, Ufanyaji Usafi Kwenye Maeneo Yenu – Lugendo

BRT Kuimarisha Uhusiano Tanzania, China

RAAWU na mafanikio iliyopata utawala wa Rais Samia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wahitimu Kidato IV 2024, Washauriwa Kubadili Machaguo Ya Tahasusi
Next Article Mawaziri Tanzania Profesa Mkenda, Silaa Mkutanoni Rwanda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yazindua Mafunzo Ya Mtandao Ya Afya Moja
Habari July 16, 2025
Watu Zaidi Ya 3500 Wapatiwa Huduma Ya Kisheria Wizara Ya Katiba Na Sheria
Habari July 16, 2025
Ubunifu Na Kufanya Tafiti Kwawezesha UDOM Kupokea Tuzo
Habari July 16, 2025
Utafiti Wa Nguvu Kazi, Mapato Ya Kaya Kutoa Taswira Mpya Ya Maendeleo
Habari July 15, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?