MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mapinduzi ya Elimu Geita: Wasichana Wamerudi Shule kwa Kasi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mapinduzi ya Elimu Geita: Wasichana Wamerudi Shule kwa Kasi
Habari

Mapinduzi ya Elimu Geita: Wasichana Wamerudi Shule kwa Kasi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: Zaidi ya asilimia 70 ya wanafunzi waliokatisha masomo kutokana na mimba katika Mkoa wa Geita wamerudi shule kuendelea na masomo, ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Takwimu hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) jijini Dodoma, wakati akiwasilisha mafanikio ya mkoa huo katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia.
Shigela amesema kuwa mwaka 2021 wanafunzi waliorejea shuleni baada ya kupata ujauzito walikuwa asilimia 30 pekee, lakini kufikia mwaka 2025 idadi hiyo imeongezeka hadi kufikia asilimia 70.
“Hii inaonesha dhamira ya kweli ya Serikali katika kuhakikisha kila mtoto wa kike anapata haki ya elimu bila kujali changamoto alizokumbana nazo,” amesema
Ameongeza kuwa mafanikio hayo ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya elimu jumuishi inayolenga kumpa kila mwanafunzi nafasi ya pili, sambamba na kampeni za uhamasishaji zinazofanywa na viongozi wa mkoa, jamii na mashirika ya kiraia.
Katika sekta ya afya, amesema upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vifungashio umefikia asilimia 90, hatua inayotokana na maboresho makubwa yaliyofanywa katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
Akiuelezea Mkoa wa Geita kama mkoa mchanga lakini unaoonyesha kasi ya ukuaji, Shigela amesema Geita sasa ni miongoni mwa mikoa 10 bora nchini kwa ukuaji wa pato la ndani na ongezeko la watu.
 “Geita ni mkoa wa saba kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani licha ya kuwa na miaka 12 tu tangu kuanzishwa kwake,” amesema.
Kuhusu kilimo, Shigela amebainisha kuwa serikali imeanza kusambaza vifaa vya kisasa vya kupima afya ya udongo kwa wakulima, jambo litakalowasaidia kulima kwa tija na kuendana na mahitaji halisi ya ardhi husika.

You Might Also Like

Uzalishaji wa chuma kuanza nchini 

Kasi Ya Kusambaza Umeme Kwenye Vitongoji Yaanza-Kapinga

Mikoa mitatu kuanzishwa vituo vya gesi asilia

Mkuu wa Mkoa akabidhi matrekta kwa wakulima kutoka Pass Leasing

Kamati Ya Bunge Ya Ustawi Na Maendeleo ya Jamii, Yaipongeza Serikali Uwekezaji Kiwanda Cha Chai

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Vijana Ni Chachu Ya Maendeleo Endelevu Wakiwezeshwa-Kikwete
Next Article Ziara ya Kwanza ya Kiongozi wa Juu wa Tanzania Nchini Belarus Yafungua Ukurasa Mpya wa Ushirikiano
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Twendeni Tukapige Kura Ya Ukombozi, CHAUMMA Yahitimisha Kampeni
Habari October 28, 2025
Elimu Ya Nishati Safi Ya Kupikia Yawafikia Maofisa Dawati Ngazi Ya Mikoa Na Halmashauri
Habari October 27, 2025
Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura
Habari October 25, 2025
Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga
Habari October 25, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?