MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli
Habari

Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: SEKTA  ya Madini imekusanya Maduhuli ya kiasi cha Sh. Trilioni moja ikiwa imebaki siku moja tu kukamilisha Mwaka wa Fedha 2024/25.
Katibu Mkuu wa  Wizara ya Madini, Yahya Samamba  amesema hayo wakati akifunga Bonanza lililowakutanisha pamoja watumishi wa Wizara na taasisi ambapo wameshiriki katika michezo mbalimbali.
Amesema katika Mwaka wa  Fedha 2024/25 Sekta ya Madini ilipangiwa kukusanya shilingi trilioni moja ambazo zimeingizwa kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali.
“Tumeweza kukusanya trilioni moja na ‘point’ bila kuwepo mgodi mpya, hakuna mwaka huko nyuma tuliosogelea  Sh. Bilioni 900  lakini mwaka huu tumeweza kukusanya kiasi hicho hii ikiwa ni sawa na wastani wa kukusanya Sh. Bilioni 84 kila mwezi,” amesema.
Amesema mwenendo mzuri wa ukusanyaji wa fedha umeifanya wizara kupangiwa kukusanya Sh. Trilioni 1.2 , hivyo, kuwataka watumishi kuongeza bidii ili Sekta ya madini iwe moja ya taasisi ambazo zitaongeza mapato ya ndani ya nchi yatakayoiwezesha nchi kujitegemea.
Kutokana na mafanikio hayo,  Samamba amewapongeza watumishi wote wa Wizara ya Madini na taasisi zake na kueleza kuwa, mafanikio hayo yametokana na mchango wa kila mtumishi kuhakikisha malengo yaliyowekwa yanafikiwa.
Amewataka  kuendeleza mshikamano na kufanya kazi kwa weledi ili Sekta ya Madini iendelee kutoa manufaa ya kiuchumi kwa Taifa.
Pia amepongeza Serikali kupitia Benki  Kuu ya Tanzania ( BoT)  kuanza kununua dhahabu kama akiba ya taifa na kusema suala hilo si dogo.
Amemwagiza Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu kuweka utaratibu wa kuwa na mabonanza yasiyopungua mannne Kwa mwaka kuendelea kujenga umoja na mshikamano baina ya watumishi.
Kwa upande wake, Mwenyekiti Tume ya Madini Dkt Janeth Lekashingo  amewataka watumishi kuendelea kujenga uhusiano na mawasiliano miongoni mwao huku akisititiza kujenga tabia ya kufanya mazoezi.

You Might Also Like

Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa

Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.

Serikali Inaboresha Miundombinu Ya Umeme Kibiti Kuondoa Changamoto Za Umeme – Kapinga

OUT yaunda Kamati ya Ufuatiliaji na Tathmini Mradi wa HEET

TPHPA Yaelezea Vipaumbele Vyake

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Washauri Serikali Kutumia Fedha Za Miradi
Next Article Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?