MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kituo Cha Umahiri Cha Upandikizaji Figo, Mafunzo, Kujengwa Hospitali Ya Benjamin Mkapa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kituo Cha Umahiri Cha Upandikizaji Figo, Mafunzo, Kujengwa Hospitali Ya Benjamin Mkapa
Habari

Kituo Cha Umahiri Cha Upandikizaji Figo, Mafunzo, Kujengwa Hospitali Ya Benjamin Mkapa

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

SERIKALI kwa kushirikiana na Taasisi ya Tokushukai kutoka Japan pamoja na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), imepanga kujenga Kituo cha Umahiri cha Upandikizaji Figo na Mafunzo katika Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) jijini Dodoma.

Akizungumza, katika Ofisi za Wizara ya Afya jijini Dodoma, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya,  Ismail Rumatila, amesema Serikali ipo tayari kupokea na kushirikiana na Taasisi ya Tokushukai katika kuhakikisha mradi huo unatekelezwa kwa wakati.

Habari Picha 10179

Rumatila amesema lengo mahsusi la mradi huo ni kuanzisha kituo cha umahiri katika magonjwa ya figo na upandikizaji wa figo kitakachotoa huduma za matibabu, mafunzo na tafiti kwa wataalam wa afya nchini.

Rumatila ameongeza kuwa mradi huo unakadiriwa kugharimu Sh Bilioni 44.9, ambapo Shirika la Tokushukai litachangia Sh Bilioni 28 kwa ajili ya ujenzi na ununuzi wa kifaa cha matibabu ya mishipa ya damu kwenye ubongo, huku Serikali ya Tanzania ikigharamia Sh Bilioni 16.9 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa, mafunzo, na ajira kwa wataalam wa afya.

Kwa upande wake, Meneja wa Mradi kutoka Shirika la Tokushukai,  Yukihiro Noguchi, amesema taasisi hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kuboresha huduma za figo na kuimarisha miundombinu ya afya nchini.

Habari Picha 10180

Kituo hicho kinatarajiwa kuimarisha huduma za upandikizaji figo nchini, kutoa mafunzo kwa wataalam wa afya, kufanya tafiti, na kupunguza gharama kwa wagonjwa wanaolazimika kusafiri nje ya nchi kufuata huduma hizo.

 

You Might Also Like

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

Mpango Asema Tanzania, Korea Kubadilishana Wafanyakazi

Rais Samia Azungumzia Mafanikio Ya Nishati Nchini

VETA Yang’ara Sabasaba

OCPD Yakabidhi Juzuu Mpya za Sheria kwa Ofisi ya Taifa ya Mashitaka

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Habari October 24, 2025
TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  
Habari October 24, 2025
Jeshi La Polisi Kufanya Ukaguzi Wa Hali Ya Juu Kwa Mashabiki Katika Mechi Za Simba Na Yanga
Habari October 24, 2025
Mgombea Urais Wa CCM, Dkt. Samia Aendelea Na Kampeni Temeke
Habari October 23, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?