MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu
Habari

Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Waandishi wa Habari Dar es salaam  (DCPC), kimemchagua  Bakari Kimwanga kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kura 68.
Kati ya kura hizo nane za hapana, na zilizoharibika ni tano.
Baada ya kuchaguliwa, Kimwaga amesema ataibadilisha klabu hiyo ikiwemo eneo la nidhamu kwa kuwa ndio msingi wa maendeleo.
Awali matokeo hayo yalitangazwa na  Mwenyekiti wa Kamati huru ya uchaguzi, Wakili wa Kujitegemea, Raphael Awino.
Kwa upande wa Makamu Mwenyekiti, Mary Geoffrey, amepata kura 70 za ndiyo, saba za hapana huku nne zikiwa zimeharibika.
Wajumbe waliochaguliwa ni Selemani Jongo kura 69, Penina Malundo (62), Andrew Msechu (67) Khamis Miraji (59) na Veronika Mrema (69).
Awino pamoja na Katibu wa Tume Huru ya Uchaguzi, Janeth Jovin, wamepongeza wanachama wa DCPC kwa kufanya uchaguzi kwa amani.

You Might Also Like

COSTECH yazindua program kuwajengea uwezo wanawake kidijitali

SOKO LA MADINI LA 43 LA ZINDULIWA TUNDURU RUVUMA.

JOWUTA Yapokea Cheti Kwenye Uzinduzi Wa Jengo La Biashara TUCTA

Majaliwa Amwakilisha Rais Samia Kilele Kongamano la TEHAMA

Usafirishaji Shehena Waingiza Dola Bilioni 3.54

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Yaongeza Bajeti Mfuko Wa Utamaduni Na Sanaa
Next Article Kitabu cha Utamaduni na Maendeleo Nchini Tanzania, Chaimarisha Mawasiliano ya Kitamaduni Baina ya China, Tanzania
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?