MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu
Habari

Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Waandishi wa Habari Dar es salaam  (DCPC), kimemchagua  Bakari Kimwanga kuwa Mwenyekiti wa chama hicho kwa kura 68.
Kati ya kura hizo nane za hapana, na zilizoharibika ni tano.
Baada ya kuchaguliwa, Kimwaga amesema ataibadilisha klabu hiyo ikiwemo eneo la nidhamu kwa kuwa ndio msingi wa maendeleo.
Awali matokeo hayo yalitangazwa na  Mwenyekiti wa Kamati huru ya uchaguzi, Wakili wa Kujitegemea, Raphael Awino.
Kwa upande wa Makamu Mwenyekiti, Mary Geoffrey, amepata kura 70 za ndiyo, saba za hapana huku nne zikiwa zimeharibika.
Wajumbe waliochaguliwa ni Selemani Jongo kura 69, Penina Malundo (62), Andrew Msechu (67) Khamis Miraji (59) na Veronika Mrema (69).
Awino pamoja na Katibu wa Tume Huru ya Uchaguzi, Janeth Jovin, wamepongeza wanachama wa DCPC kwa kufanya uchaguzi kwa amani.

You Might Also Like

Polisi Kata Kupewa Pikipiki Nchi Nzima Kuimarisha Ulinzi

Spika Tulia Kufungua Kongamano La Uhuru Wa Wanataaluma Afrika UDSM

Serikali Kuendelea Kuboresha Sheria za Ulinzi wa Watoto

Serikali Inatoa Kipaumbele Kufikisha Umeme Taasis Zinazotoa Huduma Kwa Jamii- Kapinga

October 2, 2024

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Serikali Yaongeza Bajeti Mfuko Wa Utamaduni Na Sanaa
Next Article Kitabu cha Utamaduni na Maendeleo Nchini Tanzania, Chaimarisha Mawasiliano ya Kitamaduni Baina ya China, Tanzania
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?