MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Katiba Na Sheria Kutoa Kipaumbele Kusikiliza Malalamiko Ya Wananchi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Katiba Na Sheria Kutoa Kipaumbele Kusikiliza Malalamiko Ya Wananchi
Habari

Katiba Na Sheria Kutoa Kipaumbele Kusikiliza Malalamiko Ya Wananchi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria Jumanne Sagini amesema Wizara hiyo inatoa kipaumbele elimu kwa umma hususani katika masuala yanayolalamikiwa kuhusu umiliki wanardhi.

Amesema hayo alipotembelea Banda la Wizara hiyo lililoko katika maoneshobya 49 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.

Amesema huduma ya msaada wa kisheria inahitajika kwa watanzania wali wengi hivyo Wizara hiyo inalifanya kazi ya kutoa huduma ya msaada wa kisheria kuwa endelevu.

Amesema maofisa na wasajili wa ardhi waliopo ngazi ya Mkoa wanatakiwa kuwaelimish wananchi juu ya utaratibu wa kumiliki ardhi hata hati ya kumiliki hati ya ardhi,

 

Sagini amesema wananchi wakipatiwa elimu ya ardhi malalamiko hayatakuwa mengi huku akiishukuru serikali ya RAIS Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na uboreshaji mkubwa wa nyanja mbalimbali.

“Pia kwa mabanda ambayo yanaigusa sekta ya Katiba Sheria na utoaji wa haki, tukianzia mahakama katika maonesho haya inaonekana walivyojipanga,Idara zote za mahakama zipo kwa ajili ya utoaji wa elimu na masuala mbalimbali yanayohusu mahakama,” amesema na kuwataka wananchi kutumia maonesho hayo Kupata elimu.

Amesema banda la Wizara ya Katiba na Sheria limesheheni ubora ambapo limepata zawadi kwa kuwa mshindi wa jumla namba moja katika maonesho .

Kuhusu Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA),amesema alitembelea banda la wakala huo na kuona namna huduma inavyotolewa na kwamba alibaini watu wengi wamejitokeza kwa ajili ya kuomba vyeti vya kuzaliwa.

Hata hivyo amesema lipo pengo kuhusu taarifa kwamba wananchi wanakosa kufahamu huduma za utoaji wa vyeti vya kuzaliwa zipo hadi ngazi za Wilaya.

Amesema hakuna sababu yoyote wananchi kusubiri Saba Saba ndo waje wabanane katika ufuatiliaji wa utoaji wa vyeti hivyo huku akisema wakifika Saba Saba wanakuta vyeti vimeshapelekwa Wilaya ambapo wananchi hao wanatoka

 

You Might Also Like

Dar Yaidhinishiwa Bil. 68 Ukarabati, Matengenezo Ya Barabara

Wiki ya kudhibiti bidhaa bandia kuhitimishwa DSM

TAKUKURU, Manispaa Ubungo Yawafikia Waendesha Bajaji, Bodaboda

TSB, Wizara ya kilimo yaweka mpango wa vituo vya usindikaji mkonge

Kingoba : Sheria Inawataja Waliotoa Mchango Sekta Ya Habari Ambao Sio Waandishi Wa Habari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Vumbi la Nyuki Lapewa Uzito Singida: Latajwa Tiba ya Asili Yenye Virutubisho 99
Next Article NIT Yasema Ina Uwezo Wa Kufundisha Kozi Ya Urubani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?