MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo
Habari

Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KIGOMA: WAKUU wa Divisheni na Vitengo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wamepatiwa mafunzo ya utumiaji wa Mfumo wa Kieletroniki yenye lengo la kuongeza ufanisi katika majukumu yao.
Aidha mafunzo hayo ya matumizi ya mfumo huo yataongeza ufanisi wa uandaaji na uendeshaji wa vikao jambo litakalo punguza gharama za maandalizi yake.
Ofisa TEHAMA wa halmashauri hiyo Jamal Sompole ambaye ni mwezeshaji wa mafunzo hayo ameeleza.
“Mfumo tukiufahamu vyema utasaidia halmashauri kuokoa fedha nyingi zilizokuwa zinatumika kuandaa makabrasha kwa kuwa taarifa zote hizo zitakuwa katika mfumo na madiwani na wataalam kuwa na uwezo kuzipakua huko,” amesema.
Naye mwezeshaji mwingine wa mafunzo hayo, Fiona Emmanuel amesema mfumo huo utasaidia kuokoa muda na gharama za kusambaza makabrasha kwa kuwa hivi sasa inawalazimu kuyafikisha katika kata zote 21 zilizopo katika halmashauri.
Ofisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Renaltus Kavishe  amesema mfumo huo ukieleweka vizuri utasaidia kurahisisha mawasiliano baina ya watumishi kwa watumishi au watumishi na madiwani kwa kuwa mambo yote muhimu yanayowahusu yapo ndani.
Naye Mkuu wa Idara ya Afya,Lishe na Ustawi wa Jamii wa halmashauri hiyo, Dkt. Chacha Tubeti amesema mfumo huo utasaidiia idara kuwa na uwezo wa kupata taarifa  mapema popote mtumiaji atakapokuwa, jambo litakaloboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

You Might Also Like

Polisi Kata Kupewa Pikipiki Nchi Nzima Kuimarisha Ulinzi

TAKUKURU kuelimisha madhara ya rushwa wakati wa uchaguzi

Wanafunzi Waliokwenda China Watakiwa Kuiwakilisha Tanzania Vizuri

Chalamila Asema Serikali Inafanyia Kazi Changamoto, Mradi Wa Mabasi Yaendayo Haraka

Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article OUT Yawapiga Msasa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa
Next Article TRAWU Yazindua KAMPENI ya Afya Na Usalama Mahali Pa Kazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?