MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kanisa Lawashika Mkono Shule Ya Msingi Kibamba, Halmashauri Ya Ubungo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kanisa Lawashika Mkono Shule Ya Msingi Kibamba, Halmashauri Ya Ubungo
Habari

Kanisa Lawashika Mkono Shule Ya Msingi Kibamba, Halmashauri Ya Ubungo

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: KANISA  la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho, limetumia Sh. Milioni 470.8 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu mbalimbali katika Shule ya Msingi Kibamba iliyopo Halmashauri ya Ubungo Dar es Salaam.
Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Genuine Kahatano amesema hayo katika taarifa yake ya shukrani aliyoisoma kwa uongozi wa Kanisa hilo, viongozi wa serikali, walimu pamoja na wanafunzi, muda mfupi kabla ya kukabidhiwa miundombinu hiyo.
Kahatano ametaja miundombinu hiyo iliyojengwa na kukarabatiwa kuwa ni
vyumba vya madarasa tisa vikiwa na umeme, ofisi mbili ndogo za walimu na Ofisi moja kubwa ya walimu.
Pia vyoo vya wanafunzi na mnara wa matenki ya maji kwa thamani ya sh milioni 329.5.
“Shule ya msingi Kibamba, tunatoa chozi la furaha tukisema asanteni sana kwa kazi kubwa isiyo na mfano mliyoifanya. Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki kwa kazi nzuri,”amesema.
Naye Rais wa Kanisa hilo, Juventinus Rubona amesema miradi iliyokamilika imegharimu Sh. Milioni 753.
Ameitaja miradi hiyo kuwa ni wa shule hiyo ya Kibamba, Kituo cha Afya Kimara na Kituo cha Afya Makuburi.
Amesema miradi ya sasa inayotarajiwa kukamilika ina thamani ya Sh. Milioni 522.
Katibu Tawala wa Wilaya hiyo ya Ubungo, Hassan Mkwawa amelishukuru Kanisa hilo kwa msaada walioutoa katika shule hiyo na maeneo mengine.
Ameagiza miundombinu hiyo itunzwe ili kizazi kijacho kiweze kuitumia.

You Might Also Like

Kassim Majaliwa Mgeni Rasmi Miaka 30 VETA

Mkandarasi wa mradi wa REGROW, Kilolo  atakiwa kuongeza Kasi.

Spika Ahoji Mwongozo Wa Wanaojitolea Kazin

TPHPA Tumejiimarisha Kudhibiti Visumbufu Vya Mazao – Ndunguru

Sekta Binafsi Zazuia Wafanyakazi Kujiunga Na Vyama Vya Wafanyakazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dar es Salaam Kuunda Kamati Ya Kupitia Majengo Chakavu
Next Article Muswada Wa Marekebisho Ya Sheria Za Kazi 2024 Wapitishwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?