MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jackline Mzindakaya: Uteuzi wa Mwigulu Ni Chaguo Sahihi kwa Taifa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jackline Mzindakaya: Uteuzi wa Mwigulu Ni Chaguo Sahihi kwa Taifa
Habari

Jackline Mzindakaya: Uteuzi wa Mwigulu Ni Chaguo Sahihi kwa Taifa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: MBUNGE mteule wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Jackline Chrisant Mzindakaya, amesema uteuzi wa Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania ni chaguo sahihi.
Amesema hayo muda mfupi baada ya kuthibitishwa jina hilo na wabunge jijini Dodoma.
Amesema Mwigulu ni kiongozi mchapakazi, mwenye maono na ambaye amekuwa sehemu muhimu katika kuandaa Dira ya Maendeleo ya Taifa.
Habari Picha 10301
Vilevile, amehusishwa katika uandaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2025–2030, ikiwemo kujadili vipaumbele vya maendeleo vya kiuchumi, kijamii na kisiasa vinavyoendana na matarajio ya Watanzania.
Mzindakaya pia amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupendekeza jina la Mwigulu Nchemba kushika nafasi hiyo, pamoja na wabunge wote waliopitisha azimio hilo kwa kura za kishindo.
Amesema anamfahamu Mwigulu kama kiongozi mwenye uzoefu mkubwa katika nafasi mbalimbali za chama na serikali, na kwamba amekuwa akifanya kazi kwa uadilifu na ufanisi.
Anaamini ushiriki wake katika kuandaa ilani mpya na dira ya maendeleo utasaidia kuvusha taifa kimaendeleo.
Aidha, Mzindakaya ameeleza kufurahishwa na hotuba ya Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, hasa sehemu iliyogusia masuala ya vijana. Amesema kauli ya Waziri Mkuu kwamba atatoa kipaumbele katika ajira kwa vijana imegusa mioyo ya wengi, akiwemo yeye kama kijana anayewakilisha vijana wa Tanzania.
Ameongeza  ana imani kuwa Waziri Mkuu Nchemba ataboresha maisha ya Watanzania wa kipato cha chini, kwani anafahamu changamoto wanazokabiliana nazo.

You Might Also Like

Ridhiwan Kikwete awasilisha taarifa mwenendo wa ulipaji mafao

Serikali kushirikiana na Wadau usimamizi Taka za Plastiki

MGOMBEA URAIS WA CCM AENDELEA NA KAMPENI BABATI, MANYARA

TUGHE: Wafanyakazi wapewe haki ya kujiunga vyama vya wafanyakazi

Kasulu Yatoa Mafunzo Utumiaji wa Mfumo Wa Kieletroniki Kwa Wakuu wa Divisheni, Vitengo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TTCL Yazindua Kifurushi Cha Huduma Tatu Muhimu  
Next Article Chatanda: Rais Ametuletea Kiongozi Bora Atakayetusaidia Kutekeleza Ilani Ya CCM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?