MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho
Habari

JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imetoa mwezi mmoja mwezi mmoja kuanzia Mei 22 hadi Juni 21, mwaka huu kuomba kuthibitishwa na kupewa vitambulisho kwa Waandishi wote wanaofanya kazi ya kihabari nchini.

Usajili huo unafanyika kupitia Mfumo wa TAI – Habari.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa JAB, Patrick Kipangula amesema hayo katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari.

“Waandishi wanapaswa kujisajili kupitia kiunganishi kilichotolewa na JAB,

Vile vile amesema kutokana na uwepo wa uchaguzi Mkuu mwaka huu, waandishi wote wa habari watakaotekeleza majukumu ya kihabari yanayohusiana moja kwa moja na mchakato huo wa uchaguzi wanapaswa kuwa wamethibitishwa na bodi hiyo,

“Bodi inahimiza Waandishi wa Habari kutumia ipaswavyo muda uliotokLewa kujisajili na kupata vitambulisho,” amesema

You Might Also Like

Vumbi la Nyuki Lapewa Uzito Singida: Latajwa Tiba ya Asili Yenye Virutubisho 99

Profesa Nombo Atembelea Banda la UDSM, 88 Dodoma

Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria

Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba

TEA Yatathmini Utekelezaji na Kupanga Mwelekeo Mpya Kupitia Baraza la Wafanyakazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Hali Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mipaka Ni Salama
Next Article Soko La Kisasa La Nyamachoma Lazinduliwa Vingunguti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?