MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: IITA Kuleta Mabadiliko Ya Kilimo Afrika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > IITA Kuleta Mabadiliko Ya Kilimo Afrika
Habari

IITA Kuleta Mabadiliko Ya Kilimo Afrika

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM:“MADHUMUNI yetu ni kuendelea kuwa taasisi kwenye eneo la kilimo na tafiti Afrika. Kwamba watu wakituangalia waweze kuja kufanya tafiti na sisi na kuleta mabadiliko katika bara letu la Afrika,”.

Ofisa Mawasiliano wa Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo cha Kitropiki (IITA), Gloriana Ndibalema amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania kuhusu taasisi hiyo.

Amesema taasisi hiyo imekuwa na mkakati wa mwaka 2030 wa kuendeleza chakula, kuongeza nafasi kwa wanawake na vijana, ili kusaidia kupata kazi zinazotokana na kilimo.

Pia amesema taasisi hiyo inapima afya ya udongo kama hauna afya ama virutubisho, kwa kuwa bila kufanya hivya kilimo hakiwezi kuwa sawa.

“Kama umeboresha zao lakini udongo hauna afya hautafanikiwa,” amesema Gloriana na kuongeza kuwa nchini Tanzania taasisi hiyo inafanya utafiti katika zao la mihogo na ndizi kwa kuwa na programu inayoboresha ndizi za kupika.

“Watu hawajui ndizi inaweza kuboreshwa. Sasa zinaboreshwa. Kwa Tanzania zinaboreshwa kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI). Tumeweza kuja na mbegu aina ya TARI Banana. Kuna TARIBAN 1, TARIBAN 2, TARBAN 3 na TARIBAN 4,” amesema.

Amesema katika tafiti wanazofanya wanaangalia wakulima wanataka nini hivyo shughuli zote za kisayansi zinafanyika IITA.

“Tunafanya utafiti unaoweza kukabiliana na magonjwa, pia mbegu inayoweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi,” amesema.

Amesema kwenye zao la mihogo wanatafiti mbegu zinazokinzana na magonjwa, na  wameshagundua zaidi ya mbegu 20 zinazotumika hapa nchini. 

You Might Also Like

AUWSA Kutibu Maji Taka Yatumike Kwenye Kilimo

Kiswahili Kimeanza Kubanangwa- Kabudi

Rais Mwinyi Azindua Ripoti ya Jiolojia, Utafiti Madini zanzibar

Zuhura Yunus Atoa Neno Kwa Madereva 

Serikali Yaongeza Bajeti Mfuko Wa Utamaduni Na Sanaa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wataalamu wa Tanzania, Kenya Watoa Ufafanuzi Kuhusu Maana Na Matarajio Ya Jumuiya Ya China, Afrika yenye Mustakabali wa Pamoja
Next Article Rais Samia Ameweka Alama Kwa Watumishi Wa Magereza Arusha,Awagawia Mitungi 528
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Habari July 3, 2025
Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata
Habari July 3, 2025
VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti
Habari July 3, 2025
VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Habari July 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?