MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim
Habari

Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

GEITA MJINI: MGOMEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim amesema hatima ya maisha ya Mtanzania iko mikononi mwake.

Hivyo ni kuchagua maisha yabadilike kiuchumi na kijamii au kuacha yaendelee yalivyo.

Habari Picha 9451

Mwalim ameyasema hayo Geita Mjini akiwaomba wananchi wakichague chama hicho.

Amesema Geita kama ilivyo mikoa mingine yenye dhahabu nyingi, lakini haina kielelezo chochote cha kuonyesha alama ya madini hayo.

“Ninawaomba sana, hatima ya maisha yetu ni Oktoba 29 mwaka huu, nendeni mkaichague CHAUMMA iweze kuimarisha hali nzuri za maisha yenu.”

“Maana kama mna dhahabu na samaki wengi lakini hamna viwanda vya kuchakata haina maana,” amesema.

Amesema yupo tayari kupambana na umaskini wa Watanzania, ikiwemo kuandika Katiba Mpya.

 

You Might Also Like

NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe

TPHPA yakusanya zaidi ya sampuli 10,000 za mbegu asili

Rais Samia Awatega Wateule Wake

CCCC Yakutana na Wanahabari, Yapanga Mikakati Mipya 2025

Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Atoa Neno Kwa Vijana, Maadhimisho Miaka 30 VETA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article EAC Iweke Ushindani Kuongeza Thamani Ya Malighafi
Next Article Mradi Wa Thamini Uzazi Salama Wakabidhiwa Vitendeakazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?