MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim
Habari

Geita Ina Dhahabu Lakini Haina Maendeleo” – Salum Mwalim

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

GEITA MJINI: MGOMEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim amesema hatima ya maisha ya Mtanzania iko mikononi mwake.

Hivyo ni kuchagua maisha yabadilike kiuchumi na kijamii au kuacha yaendelee yalivyo.

Habari Picha 9451

Mwalim ameyasema hayo Geita Mjini akiwaomba wananchi wakichague chama hicho.

Amesema Geita kama ilivyo mikoa mingine yenye dhahabu nyingi, lakini haina kielelezo chochote cha kuonyesha alama ya madini hayo.

“Ninawaomba sana, hatima ya maisha yetu ni Oktoba 29 mwaka huu, nendeni mkaichague CHAUMMA iweze kuimarisha hali nzuri za maisha yenu.”

“Maana kama mna dhahabu na samaki wengi lakini hamna viwanda vya kuchakata haina maana,” amesema.

Amesema yupo tayari kupambana na umaskini wa Watanzania, ikiwemo kuandika Katiba Mpya.

 

You Might Also Like

Msomi Wa Afya, Fatuma Atia Nia Jimbo la Dodoma Mjini

Rais Samia afurahia SGR

Ridhiwan Kikwete atembelea kituo cha kulelea watoto

Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa

Benki Ya Dunia Kujenga Mradi Wa Njia Ya Kusafirisha Umeme Wa KV 400  Kutoka Uganda-Tanzania  

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article EAC Iweke Ushindani Kuongeza Thamani Ya Malighafi
Next Article Mradi Wa Thamini Uzazi Salama Wakabidhiwa Vitendeakazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?