MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Februari Mwaka Huu Wafanyabiashara Kariakoo Kurejea, Wenye Madeni Waagizwa Kulipa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Februari Mwaka Huu Wafanyabiashara Kariakoo Kurejea, Wenye Madeni Waagizwa Kulipa
Habari

Februari Mwaka Huu Wafanyabiashara Kariakoo Kurejea, Wenye Madeni Waagizwa Kulipa

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: WAFANYABIASHARA 366 wenye madeni ya kiasi cha zaidi ya Sh. Milioni 350 katika Soko la Kariakoo wameagizwa kuyalipa kabla ya kurejea sokoni hapo Februari mwaka huu.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Shirika la Masoko Ya Kariakoo, Hawa Ghasia amesema leo Januari 29 alipozungunza na waandishi wa habari kuhusu hatua zinazoendelea kwenye maandalizi ya kurejesha shughuli za biashara kwenye soko la Kariakoo.
Ghasia amesema hivi sasa menejimenti inaratibu kazi ya kutangaza majina ya waliokuwa wafanyabiashara kwenye soko hilo ambao wamekidhi vigezo na sifa za kurejeshwa baada ya uhakiki.
“Uhakikiuliofanywa umebaini jumla ya wafanyabiashara 1520 wanaotarajiwa kurejeshwa sokoni. Majina na fomu ya kujiunga vitatangazwa kwa umma kupitia vyombo vya habari ikiwemo tovuti ya Shirika la Masoko ya Kariako na tovuti ya OR – Tamisemi,” amesema.

You Might Also Like

TPHPA: Toeni taarifa mapema milipuko ya kwelea kwelea, nzige, viwavijeshi vamizi inapotokea

Ruto: Diplomasia Itumike Kumaliza Mgogoro Kongo

OUT yaunda Kamati ya Ufuatiliaji na Tathmini Mradi wa HEET

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ufaulu Umeongezeka Kwenye Natokeo Kidato Cha Nne
Next Article Miaka 30 YA TUGHE Yenye Mafanikio
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?