MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: FCC Yatoa Elimu Ya Ushindani Wa Kibiashara Katika Maonesho Ya  Biashara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > FCC Yatoa Elimu Ya Ushindani Wa Kibiashara Katika Maonesho Ya  Biashara
Habari

FCC Yatoa Elimu Ya Ushindani Wa Kibiashara Katika Maonesho Ya  Biashara

Author
By Author
Share
2 Min Read
– Yafungua Kliniki Ya Biashara Kwa Faragha
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: Mamlaka ya Udhibiti wa Ushindani wa Kibiashara (FCC) imetumia jukwaa la maonesho ya biashara kufikisha elimu kwa wadau wa biashara huku ikizindua ‘clinic’ maalumu ya biashara inayotoa ushauri wa faragha kuhusu masuala ya ushindani wa kibiashara na ulinzi wa walaji.
Akizungumza katika maonesho hayo, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa FCC,  Hadija Ngasongwa amesema maonesho haya ni fursa muhimu kwa mamlaka hiyo kufikia zaidi ya washiriki 3,500 wa sekta mbalimbali za biashara kwa lengo la kuhamasisha ushindani wenye tija na mazingira bora ya uwekezaji nchini.
“FCC imefungua clinic ya biashara ili kuwawezesha wafanyabiashara hasa wale wadogo na wa】⁰⁰⁰0 kati kupata taarifa sahihi kuhusu sheria za ushindani na haki za walaji kwa faragha kabisa,” amesema.
Amesema  FCC imekuwa ikifanya kazi ya kuelimisha umma, kufuatilia mienendo ya soko, pamoja na kudhibiti bidhaa bandia zinazohatarisha afya za walaji na kuathiri ushindani halali wa kibiashara.
Kwa mujibu wa Ngasongwa, Serikali kupitia FCC imeweka mazingira rafiki ya kufanya biashara, jambo linaloendelea kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
Amesema Tanzania bado ni mahali salama na bora pa kuwekeza kutokana na mfumo thabiti wa kisheria unaolinda haki za wafanyabiashara wote.
“Sheria zetu ni rafiki kwa wawekezaji, na tunajivunia kuona kwamba sasa Serikali imeweka mazingira mazuri zaidi  kwa biashara kushamiri,” amesema.
Amesema FCC inaendelea kufanya tafiti mbalimbali kwa lengo la kuweka uwiano katika soko na kusaidia biashara ndogo kukua na kufikia ngazi za juu.
Amesema dhamira ya FCC ni kuhakikisha siyo tu wawekezaji kutoka nje wanafaidika na mazingira ya biashara, bali pia wajasiriamali wa ndani wanapata nafasi ya kukuza mitaji yao kupitia ushindani wa haki.
“Tunaamini kuwa kupitia elimu na usimamizi madhubuti wa ushindani, tunaweza kuwawezesha wafanyabiashara wa kati kukua na kuwa wawekezaji wakubwa wa baadaye,” amesema.
Maonesho hayo yamekuwa jukwaa muhimu la wadau mbalimbali kubadilishana uzoefu na kupata mrejesho kuhusu mazingira ya kibiashara nchini, huku FCC ikichukua hatua ya kuwa karibu zaidi na jamii ya wafanyabiashara kwa vitendo.

You Might Also Like

Dkt Biteko Awasili Barbados Kunadi Nishati Safi Kimataifa

Serikali Kuboresha , Kuweka Mazingira Wezeshi Kwa Vijana

TASU yaiomba serikali inunue meli kutoa ajira kwa mabaharia

Tanzania Yatumia Wiki Ya Nishari India Kunadi Vitalu Vya Mafuta Na Gesi Asilia

Ulega : Nimeridhisha Na Hatua Iliyofikiwa, Ongezeni Kasi Zaidi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watanzania Watakiwa Kuachana Na Dhana Potofu Kuwa Nishati Safi Ya Kupikia Ni Gharama
Next Article NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe
Habari July 5, 2025
Watanzania Watakiwa Kuachana Na Dhana Potofu Kuwa Nishati Safi Ya Kupikia Ni Gharama
Habari July 5, 2025
Wananchi Waelimishwe Kuhusu Utendaji wa Kamati za Maadili za Maofisa wa Mahakama
Habari July 5, 2025
UDOM Yatafiti Dawa za Malaria, Vidonda vya Tumbo, Kisukari Kutoka Mimea ya Asili
Habari July 5, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?