MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Faru Weusi, Simba, Tembo Waongezeka Ngorongoro
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Faru Weusi, Simba, Tembo Waongezeka Ngorongoro
Habari

Faru Weusi, Simba, Tembo Waongezeka Ngorongoro

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: MAMLAKA ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imefanikiwa kudhibiti ujangili wa wanyama pori na kusababisha kuongezeka kwa asilimia 40 ya faru weusi katika hifadhi hiyo.
Hayo yameelezwa na Kamishina wa Uhifadhi  Mamlaka  ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro ,Dkt. Elirehema  Doriye wakati wa kutoa taarifa ya maendeleo kwa miaka minne  ya utawala wa Serikali iliyopo madarakani katika ukumbi wa mikutana wa Habari Maelezo Jijini Dodoma.
Amesema mbali na faru weusi kuongezeka kwa sasa hata simba wameongezeka na kufikia 188 kwenye hifadhi hiyo na tembo kuongezeka kutoka 800 hadi 1300.
Akizungumzia mafanikio katika sekta utalii amesema kuwa hifadhi ya Ngorongoro ni maeneo yanayotembelewa na watalii wengi nchini kutokana na vivutio vyake kuwa ni vya kipekee.
Anasena kuwa takwimu zinaonesha kati ya Julai 2021 hadi Februari 2025 jumla ya watalii 2,916,540  wametembelea vivutio vya utalii ndani ya hifadhi ya Ngorongoro.
Dk.Doriye amesema katika kipindi kama hicho mapato  ya Sh. Bilioni 693.9 yamekusanywa na kuingia kwenye mfuko mkuu wa Serikali

You Might Also Like

Biteko – Asisitiza Umuhimu Wa Mifumo Thabiti Ya Nishati Jadidifu Kukidhi Mahitaji Ya Nishati

REA Yaupamba Mkutano Wa Kikanda Wa Nishati Bora 2024

Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao

Wamiliki Migodi Wapewa Siku 30 Kufanya Usajili

Kamati Ya Bunge Ya Ustawi Na Maendeleo ya Jamii, Yaipongeza Serikali Uwekezaji Kiwanda Cha Chai

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa
Next Article Wananchi Wachukue Hatua Iwapo Hawajaridhika Na Huduma-TCF
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?