MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga
Habari

Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia CCM, Dkt. Doto Biteko, amewapongeza wananchi wa Kata ya Bugelenga kwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo ikiwemo barabara, shule na maji.
Ametoa pongezi hizo jatika kampeni ambako ameeleza Serikali imepeleka umeme katika vijiji vyote vya kata hiyo, na sasa wanakamilisha kupeleka umeme vitongojini.
Habari Picha 9478
Dkt. Biteko ameahidi kuwa wananchi watakaounganishiwa umeme watapewa majiko ya umeme bure ili kupunguza gharama za kupikia.
Aidha, amesema CCM ikipewa tena ridhaa, watajenga kituo cha kupoozea umeme kitakachohudumia hadi Mbogwe, pamoja na kuongeza madarasa, maabara na jengo la utawala.
Amesisitiza kuwa shule zinazohitaji ukarabati zitashughulikiwa, na wodi ya kulaza wagonjwa itajengwa Bugelenga. Pia, amewaasa wananchi kuendelea kuwasomesha watoto wao, akibainisha kuwa Serikali inalipa ada hadi kidato cha sita.
Habari Picha 9479
Mgombea huyo pia amewasihi wananchi kumpigia kura mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, kwa kuwa ametekeleza miradi mingi ya maendeleo katika eneo hilo. Ameeleza kuwa kipindi kijacho kitaongeza kasi ya utekelezaji wa miradi kama maji, shule na afya.
Kwa upande wake, mgombea udiwani wa kata hiyo, Donald Rubigisa, amemshukuru Dkt. Biteko kwa kusaidia daraja kubwa na kuahidi kuendelea kushirikiana na wananchi kutatua changamoto kama ukarabati wa shule, uhaba wa chumba cha kuhifadhia maiti na mawasiliano duni ya simu.

You Might Also Like

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki

Wapongeza Nyongeza Ya Likizo Kwa Aliyejifungua Mtoto Njiti

Usafirishaji Wa Mizigo SGR Mbioni Kuanza

Dendego Achangisha Bilioni 1.7, Ujenzi Ofisi Ya CCM

Kasulu DC Yapongezwa Kwa Kupata Hati Safi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Next Article Washauri Somo la Astronomia Kurudishwa Mashuleni, Kukuza Utalii Anga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?