MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: China Yafundisha Wanafunzi DIT kuzifikia fursa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > China Yafundisha Wanafunzi DIT kuzifikia fursa
Habari

China Yafundisha Wanafunzi DIT kuzifikia fursa

Author
By Author
Share
2 Min Read
 Na Lucy Lyatuu
KAMPUNI ya Ujenzi na Mawasiliano  ya China (CCCC) imetoa mafunzo kwa wanafunzi wa Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) yenye lengo la kuwajenga ili kuzifikia fursa mbalimbali zilizoko kwenye miradi mikubwa ndani na nje ya nchi.
Wanafunzi waliolengwa ni wa fani ya  uhandisi,sayansi na teknolojia Ili  waweze kujua  yanayohitajika katika kazi watakazozifanya na kuwa na tija zaidi.
Naibu Meneja wa CCCC Tanzania  Liyuliang Lee amesema hayo  Dar es Salaam alipokutana na wanafunzi hao kwa mara ya kwanza katika Taasisi hio Ili kutambulisha Kampuni hiyo ya  kimataifa inayofanya kazi mbalimbali ndani na nje ya nchi.
Lee amesema Kampuni hio ambayo inamilikiwa na serikali ya China Iko nchini Tanzania tangu 2009 na imekuwa ikijishughulisha na miradi mbalimbali mikubwa ya maendeleo.
Amesema Kampuni imejikita katika shughuli za ujenzi na imekuwa ikiwafikia wahitimu katika vyuo mbalimbali Ili kufundisha fursa mbalimbali zinazopatika  lakini kile kinachotakiwa wanapotafuta ajira.
” Tunawafundisha Ili kuwa na tija na tunaamini kuwa baada ya miaka kadhaa wanaweza kuwa na viwango vikubwa zaidi katika kuchangia uzalishaji wa nchi na kujiongezea thamani,’ amesema Lee.
Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo Cha Mahusiano Viwandani (DIT) Dk Sosthenes  Karugaba amesema  mafunzo hayo ni kuwaandaa ili kuzifikia fursa mbalimbali katika kampuni za nje.
Amesema  DIT imekuwa ikiwezesha wanafunzi kupata mafunzo viwandani ambayo husaidia walengwa kufanya kazi zao Kwa ufanisi,na kuwa tayari kutumia vifaa vya kisasa.

You Might Also Like

NEMC Kupambana Na Magugu Maji Ziwa Victoria

Watanzania wasisitizwa kulinda mazingira ya miundombinu ya umeme

UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka

Waziri Mkuu Kumwakilisha Dkt Samia Ivory Coast

Sekta Ya Madini Yapaisha Pato La Taifa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Hazina yaanza kuwalipa wanachama 465 wa TALGWU
Next Article Wakulima wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya mbolea
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nishati Safi Kwa Kila Mtanzania Inawezekana – Saidy
Habari August 7, 2025
Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?