MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CHAUMMA kuanzisha mjadala wa elimu ndani ya siku 100
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CHAUMMA kuanzisha mjadala wa elimu ndani ya siku 100
Habari

CHAUMMA kuanzisha mjadala wa elimu ndani ya siku 100

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema kitaanzisha mjadala wa elimu ndani ya siku 100 kwa lengo la kubomoa mfumo uliopo.
Akizungumza na wananchi wa Kinondoni, mgombea urais wa CHAUMMA, Salum Mwalim, amesema mabadiliko hayo yanalenga kukifanya Kiingereza kuwa nyezo muhimu ya kuwaondoa watoto katika umaskini.
“Vijana wengi wanamaliza shule lakini bado wanaishi katika nyumba za wazazi wao… ndiyo hao waliosoma katika mazingira ya shule za kawaida,” amesema.
Habari Picha 9757
Ameongeza kuwa tatizo la ajira ni kama bomu linalosubiri kulipuka, na si tofauti za kisiasa au kidini kama inavyodhaniwa.
“Elimu tuliyonayo leo tunatakiwa kuibomoa ili watoto wetu wanapomaliza shule wawe na ujuzi wa maisha,” amesema.
Habari Picha 9756
Kwa upande wake, mgombea mwenza wa urais kwa tiketi ya CHAUMMA, Devotha Minja, amesema: “CCM ilisubiri mwendokasi zipigwe mawe ndipo walete mpya? CCM inatakiwa kupumzishwa kwani imeshindwa kuwasaidia Watanzania.”

You Might Also Like

Biashara Kati Ya Tanzania Na Uturuki Yapanuka Kwa Kiasi  Kikubwa

Zaidi Ya Wanachama 800 Wa TUGHE Watembelea Hifadhi Ya Mlima Kilimanjaro

Ridhiwani, Mlao na wanachama wa CCM Kata ya Bwilingu wakinadi chama chao dakika za lala salama

Wazazi washauriwa kusomesha watoto useremala

Stamico Yapewa Tuzo Na FDH Kujali Wenye Ulemavu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MGOMBEA URAIS WA CCM AENDELEA NA KAMPENI BABATI, MANYARA
Next Article China, Tanzania Zaendeleza Uhusiano Kupitia Tamasha La Kitamaduni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?