MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Chanzo Cha Bunge Kuridhia Hoja Ya Wanaojifungua Njiti, Kilianzia Hapa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Chanzo Cha Bunge Kuridhia Hoja Ya Wanaojifungua Njiti, Kilianzia Hapa
Habari

Chanzo Cha Bunge Kuridhia Hoja Ya Wanaojifungua Njiti, Kilianzia Hapa

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: “TULIKUTANA na mama ambaye alikuwa amefukuzwa kazi na alikuwa ameshakaa hospitali miezi mitano kutokana na kujifungua mtoto kabla ya siku kutimia aliyekuwa na gramu 490,”.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel ameeleza hayo siku chache baada ya bunge kuridhia hoja ya kuongeza muda wa likizo ya uzazi kwa mwajiriwa ambaye atajifungua mtoto njiti kwa kujumuisha na muda uliobaki kufikia wiki 40 za ujauzito huku baba akipewa siku saba za mapumziko.
Amesema Safari ya kupigia kelele hoja hiyo ilianza baada ya kwenda katika hospitali moja kwa ajili ya kukabidhi vifaa tiba na kukutana na mama huyo.
“Wakati nazungumza na mama huyo, akapita Daktari mmoja ambaye sasa hivi ni marehemu, akasema changamoto hii ni kubwa sana, wamama wengi sana hapa huwa wanafukuzwa kazi au wanachukua likizo bila malipo,
“Na bado gharama za kumlea mtoto kichwa kinauma,” amesema.
Amesema hilo ndilo lililowasukuma kuanza harakati za kutetea wanawake wanaojifungua watoto njiti kwa kushirikiana na mitandao mbalimbali ya kijami, Umoja wa Wake wa Viongozi nchini, Vyama vya siasa pamoja na Kamati za Bunge.
Amesema wakaona kuna haja ya Kushirikisha Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), pamoja na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), hivyo kuanzia hapo sauti ikawa kubwa zaidi.
“Nafurahi sana TUCTA kwa sababu walibeba hili wazo na wakalizungumza Mei Mosi mwaka jana, Natumai Mei Mosi ya mwaka huu 2025 tutakuwa tunacheka zaidi,” amesema.
Amesema jambo hilo limeweka historia kwa Tanzania, pia Bunge limeacha alama kwa nchi.
Mdau wa Mtandao Afya ya Uzazi, Agnes Mtui amesema pamoja na sheria hiyo kupitishwa, kuna wajibu wa kufuatilia kanuni kama zimetengenezwa.
Majadiliano kuhusu hoja hiyo yalianza rasmi na wadau hao mwaka 2017 kisha kupelekwa Bungeni mwaka 2018.
Naye Makamu Mwenyekiti wa TUGHE, Dkt. Jane Madete amesema
Taasisi ya Doris Mollel inatambua umuhimu wa kuongeza siku za likizo kwa wazazi wanaopata Watoto njiti kwani kutalinda ustawi wa afya za Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati ambao wanahitaji muda wa kutosha wa Uangalizi.

You Might Also Like

Miaka Minne Ya Samia Na Sekta Ya Elimu

Kabudi Aelezea Mafanikio Ya Wizara Yake

Swahili International Tourism Expo Kufanyika Oktoba 11 hadi 13

Mtafiti UDSM Atafiti Mimea Ya Asili Kudhiti Fangasi Kwenye Mimea

Mwongozo wa Mafunzo Elekezi Kwa Walimu Wapya Kazini Mbioni Kukamilika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wapongeza Nyongeza Ya Likizo Kwa Aliyejifungua Mtoto Njiti
Next Article Kasi Ya Kusambaza Umeme Kwenye Vitongoji Yaanza-Kapinga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?