MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Biashara kidijitali inawezekana soko huru la Afrika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Biashara kidijitali inawezekana soko huru la Afrika
Habari

Biashara kidijitali inawezekana soko huru la Afrika

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF) imesema licha ya kuwepo kwa fursa mbalimbali za  biashara katika soko huru la Afrika (AfCFTA) Bado zipo changamoto zinazotakiwa kufanyiwa kazi Ili zisizuie   biashara  kwa njia ya mtandao.
Mkurugenzi wa Bodi ya  TPSF Mercy Silla amesema hayo Dar es Salaam wakati akifungua mafunzo kwa wanawake na vijana namna wanavyoweza kutangaza biashara zao  kwa njia ya kidijitali kupitia soko hilo  na kufanya biashara Kimataifa.
Mafunzo hayo ya siku mbili yanaratibiwa na Baraza la Biashara la Afrika Mashariki (EABC) Kwa udhamini wa SHIRIKA la Misaada la Kijerumani ( GIZ).
Akizungumza,Silla amezitaja  changamoto hizo kuwa ni pamoja na  sarafu tofauti ya kila nchi,Kila nchi kuwa na taratibu zake lakini pia kuwepo kwa  taarifa mbalimbali za bidhaa kutopokelewa ipasavyo.
Amesema changamoto nyingine ni kuwa na kiwango kidogo cha uelewa kuhusu soko hilo, gharama za bidhaa kukinzana hususani katika biashara ya kidigitali na pia suala zima la hofu kwa matumizi ya Teknolojia ya digitali kuhusu suala zima la usalama.
Amesema kuna haja ya mifumo kusomana na makundi hayo ya vijana na wanawake kuhakikisha wanajifunza Kwa kinachoendelea Ili Kutumia fursa za soko hilo.
Kwa upande wake Meneja wa Sera wa Biashara na Huduma kutoka EABC Geoffrey Kamanzi,  akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa EABC, amesema Mpango wa Biashara wa AfCFTA tayari umeanza kufanya kazi na kuitaka sekta binafsi ya  Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuendelea kufahamisha jinsi ya kufanya biashara chini ya utaratibu wa AfCFTA.
 Amesema  EABC itaanzisha warsha kama hizo katika nchi nyingine za EAC ili kuimarisha namna ya  kutumia mfumo wa kidijitali na kuimarisha utayari wa wafanyabiashara wadogo na WA kati (SMEs )kufanya biashara chini ya AfCFTA.
Amesema Changamoto kama vile mifumo duni ya udhibiti, sarafu tofauti za kitaifa, huduma duni za wasafiri, uelewa mdogo, mkinzano wa gharama, masuala ya usalama na hofu ya ICT huzuia biashara kupitia biashara ya mtandaoni.

You Might Also Like

Kamati YA Siasa Yaendelea Kukagua Miradi Ya Maendeleo Temeke

MWALIM: Njaa na Ukosefu wa Ajira Ni Matokeo ya Uongozi wa CCM

Jeshi la polisi kuchukua tahadhari mechi ya Simba, Yanga leo

Wenye Ulemavu Wa Ngozi Wakumbukwa Kupitia FDH, Wapewa Msaada Wa Milioni 20

UTT AMIS Yazindua kampeni ya ‘Kijiwe Mchongo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Vyuo vya Kilimo vishirikishwe mradi wa BBT
Next Article Kongamano la Kahawa Bora Afrika kufanyika Tanzania Februari mwakani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?