Matokeo Ya Usaili TRA Kutangazwa April 25,2025
Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema matokeo ya usaili…
Wahitimu Kidato IV 2024, Washauriwa Kubadili Machaguo Ya Tahasusi
Na Danson Kaijage DODOMA: WAHITIMU wa Kidato cha Nne mwaka 2024 wamepata…
Tuwaombe Rais Samia, Mwinyi – Sheikh Swed
NA Danson Kaijage DODOMA:WAUMINI wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuwaombea dua njema…
Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam
Na Lucy Ngowi DAR ES SALAAM: DUKA Jipya la kwanza la Midea…
Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya
Na Danson Kaijage DODOMA: SHEIKH wa Mkoa wa Dodoma Alhaji Dkt. Mustapha…
Waislamu Watakiwa Kusimamia Misingi Ya Upendo, Ushirikiano, Amani
Na Danson Kaikage DODOMA: WAUMINI wa dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kusimamia…
TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni
Na Mwandishi Wetu DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Elimu Tanzania ( TEA),…
Ridhiwani Aongoza Waliojiajiri Kujiunga, Kuweka Akiba NSSF
Na Mwandishi Wetu PWANI: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,…
NCCR-MAGEUZI Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025
Na Danson Kaijage DODOMA: CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimesema kuwa kitashiriki Uchaguzi Mkuu…
Tanzania Kwa Mara Nyingine Mwenyeji Kongamano La eLearning Afrika
Na Danson Kaijage. TANZANIA itakuwa mwenyeji wa kongamano la Kimataifa la eLearning…
