MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu
Habari

Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu

Author
By Author
Share
2 Min Read
 Na Mwandishi Wetu
MOROGORO: MWENYEKITI wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC), Profesa Masoud Muruke ametembelea Ofisi za TSC Wilaya ya Morogoro na kuwapongeza watumishi wa Wilaya hiyo kwa namna wanavyotekeleza majukumu yao katika kutoa huduma kwa walimu.
Amesema licha ya changamoto mbalimbali zinazoikabili ofisi hiyo, watumishi hao wameendelea kutekeleza majukumu yao kwa bidii, weledi na uzalendo, hivyo kufanya walimu wa Wilaya hiyo kuendelea kupata huduma bora.
Pia amewataka watumishi hao kuendelea kutoa huduma bora kwa walimu ambao ni watumishi muhimu katika kuzalisha kada mbalimbali ambazo zinahitajika kwa maendeleo ya Taifa.
Kwa upande mwingine ameitaka Menejimenti ya TSC kuhakikisha inaendelea kuboresha mazingira mazuri ya utendaji kazi kwa Ofisi zake za wilaya kwani zenyewe ndio shina la kuleta mafanikio katika utekelezaji wa majukumu ya Tume.
Amesema ni vema kuimarisha Ofisi za Wilaya kwa kuwa, na mazingira mazuri ya kuhifadhia nyaraka ambapo wakati mwingine zinatumika katika utoaji wa maamuzi ya masuala mbalimbali yanayohusu utumishi wa walimu.
“Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inagusa sehemu kubwa ya utumishi wa walimu ikiwemo ajira, maendeleo ya walimu na inatoa maamuzi yanayohusu nidhamu za walimu, hivyo ni vyema tuhakikishe tunaweka mazingira mazuri ya ofisi hizi ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi,” amesema.
Naye Katibu wa TSC, Paulina Nkwama amewataka Watumishi wa Tume wilayani Morogoro kuhakikisha wanakwenda kutoa huduma kwa walimu katika maeneo yote ya Wilaya hiyo yakiwemo maeneo ya pembezoni kama Mvuha na Matombo.
Amesema maeneo ya Mvuha na Matombo yako mbali na ofisi za TSC, hivyo ni vyema kwa watumishi wa Tume kuweka utaratibu wa kupangiana zamu ya kuwafikishia huduma walimu katika maeneo hayo.

You Might Also Like

TARI yapongezwa kwa kuwa na teknolojia bora za kilimo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala

Serikali imejipanga Mkakati wa Taifa wa Matumìzi ya nishati safi ya kupikia – Mramba

Rais Samia atoa zaidi ya bil. 2.1 usimikaji wa mifumo, uendeshaji mashauri ya wafanyakazi

Awamu Ya Pili Uboreshaji, Uwekaji Wazi Wa Dafatri La Wapiga Kura Kuanza Mei

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia atoa zaidi ya bil. 2.1 usimikaji wa mifumo, uendeshaji mashauri ya wafanyakazi
Next Article Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?