MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG
Habari

ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: JUMUIYA ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), itajadili Ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali ( CAG), pamoja na kupitia agenda mbalimbali za kimaendeleo katika Mkutano Mkuu wa 39 wa mwaka.
Mwenyekiti wa ALAT, Murshid Ngeze amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari kuhusu maandalizi ya Mkutano huo ambao unatarajiwa kufanyika Jijini Dodoma.  Mgeni rasmi akitarajiwa  kuwa Rais Samia Suluhu Hassan.
“Katika mkutano huo pia tutajadili na kutathinini,kukichunguza katika utendaji wetu katika halmashauri.
“Kutoa taarifa za mapato na matumizi,kujua kila kata inapata kiasi gani cha fedha za maendeleo pamoja na kujua na kutoa majibu ambayo yalikuwa na Dukuduku,” amesema.
Pia amesema mkutano huo, utajadili na kupitisha bajeti sambamba na kueleza mapato na matumizi kwa lengo la kuweka uwazi kwa jamii.
Amesema pia watahuhisha jumuiya hiyo sambamba na kupitia utekelezaji wa kutaka kuanzisha ujenzi wa kitega uchumi kwe kiwanja chao chenye ukubwa wa mita za Mraba 6000.
Awali mkutano huo ulikuwa ufanyike Mwanza lakini sasa utafanyika Dodoma.

You Might Also Like

CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki

MSD, SALAMA Zaunganisha Nguvu Kuboresha Sekta ya Afya SADC

TPHPA Yaleta Mapinduzi Mapya Katika Kilimo Kupitia Teknolojia ya Vinasaba

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki

JOWUTA Yapokea Cheti Kwenye Uzinduzi Wa Jengo La Biashara TUCTA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanawake Taasisi za Kitafiti Watoa Furaha Kwa Waliojifungua, Madaktari, Manesi Kawe Kituo Cha Afya
Next Article VETA Yatembelea Kiwanda Cha Kutengeneza Nyumba Bila Kutumia Tofali
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?