MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Uongozi OUT Waahidi Kuboresha Mazingira ya Kazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Uongozi OUT Waahidi Kuboresha Mazingira ya Kazi
Habari

Uongozi OUT Waahidi Kuboresha Mazingira ya Kazi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Vincent Mpepo (OUT)
DAR ES SALAAM. Uongozi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) umeahidi kuendelea kuboresha mazingira ya kazi kadiri ya uwezo wa kifedha wa chuo, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuongeza ufanisi wa kazi na mapato ya taasisi.
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa gari jipya la ofisi yake jijini Dar es Salaam, Makamu Mkuu wa Chuo, Profesa Alex Makulilo, amesema chuo kinatambua changamoto zilizopo kwenye mazingira ya kazi, na kitaendelea kuzitatua hatua kwa hatua kwa kutumia rasilimali za ndani.
Habari Picha 9977
Profesa Makulilo amebainisha kuwa ununuzi wa gari hilo umefadhiliwa kwa mapato ya ndani ya chuo, na aliipongeza timu yote iliyosimamia mchakato huo kwa kufuata taratibu na kuhakikisha thamani ya fedha inazingatiwa.
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Huduma za Mikoa na Teknolojia za Kujifunzia, Profesa Leonard Fweja, amesema gari hilo litarahisisha majukumu rasmi ya Makamu Mkuu wa Chuo, hasa katika kusimamia vituo vya OUT vilivyopo nchi nzima.
Kwa upande wake, Kaimu Naibu Makamu Mkuu wa Chuo anayeshughulikia Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaalamu, Dkt. Dunlop Ochieng, ametaja upatikanaji wa gari hilo kuwa ni matokeo ya mshikamano na kujituma kwa wafanyakazi wa chuo.
Benjamin Bussu, Mkurugenzi wa Mipango na Maendeleo, amesema mchakato wa manunuzi ulianza Februari 2025 na ulifuata taratibu zote, ikiwemo kupata kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi.
Gari lililonunuliwa ni aina ya Toyota Land Cruiser yenye thamani ya Sh. milioni 386, na linatarajiwa kuimarisha shughuli za kiutendaji za viongozi wa chuo.
Bussu amesisitiza umuhimu wa kulitunza gari hilo na kulitumia kwa uangalifu kwa maslahi ya taasisi na usalama wa viongozi wake.

You Might Also Like

Mkenda: Tunahitaji Ushirikiano Baina Ya Viwanda Na Wazalishaji

Kampuni ya Kichina CCCC yatoa msaada wa vitabu UDSM

Vitongoji 1997  Vimepatiwa Huduma Ya Umeme, Kilimanjaro  

TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge

TEITI Yashiriki Maonesho ya Nane ya Uwekezaji Sekta ya Madini Geita

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Elimu ya Ufundi Yachangia Maendeleo ya Taifa – VETA
Next Article Waziri Mkuu Ashiriki Kumuombea Baba Wa Taifa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?