MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi
Habari

Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MOROGORO: CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema maendeleo ya watu yanategemea umakini na uadilifu katika usimamizi wa rasilimali ambazo taifa limejaaliwa na Mwenyezi Mungu.
Mgombea urais wa CHAUMMA, Salum Mwalim, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani zilizojaaliwa kila aina ya rasilimali.
“Kila kona ya nchi hii kuna dhahabu, almasi, tanzanite, madini ya kutengeneza ndege, rubi na makaa ya mawe,” amesema.
Habari Picha 9744
Ameeleza kuwa licha ya utajiri huo, wananchi wanaendelea kuishi katika umaskini uliosababishwa na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Mungu ametupa ardhi kubwa nzuri kwa ajili ya kilimo na mifugo… ni nini utakachotaja hakipo? Lakini bado tuna umaskini. Hii ni kwa sababu ya CCM,” amesema.
Akizungumzia gharama kubwa za chakula, amesema suluhisho ni kuongeza uzalishaji na kupunguza bei za bidhaa sokoni.
“Kupanga ni kuchagua. Mimi nimechagua kilimo kwa sababu ardhi tuliyonayo si ya kuipigia magoti kwa Mchina wala Mmarekani,” amesema na kuongeza:
“Tuna mamilioni ya hekari za kulima miwa, tuna mbegu na tuna nguvu kazi ya kutosha, lakini kila mwaka tuna tatizo la sukari… hizo ndizo akili za CCM.”

You Might Also Like

COSTECH, CRDB Foundation Yazindua Mikopo Nafuu Kwa Wabunifu

Chuo Cha VETA Chazindua Mradi Wa Biogas

Maeneo ya hifadhi yalindwe na kutunzwa – Rais Samia

Maofisa Tarafa na Watendaji wa Kata Waaswa kuwa wabunifu

TAWA Ni Mahali Sahihi Pa Uwekezaji  – Maganja

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Utekelezaji Mradi Mkubwa Wa Maji Mwanza Wafikia Asilimia 35
Next Article MGOMBEA URAIS WA CCM AENDELEA NA KAMPENI BABATI, MANYARA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Habari February 2, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?