MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi
Habari

Mwalim: Ardhi Yetu ni Ufunguo wa Uhuru wa Kiuchumi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MOROGORO: CHAMA cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema maendeleo ya watu yanategemea umakini na uadilifu katika usimamizi wa rasilimali ambazo taifa limejaaliwa na Mwenyezi Mungu.
Mgombea urais wa CHAUMMA, Salum Mwalim, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani zilizojaaliwa kila aina ya rasilimali.
“Kila kona ya nchi hii kuna dhahabu, almasi, tanzanite, madini ya kutengeneza ndege, rubi na makaa ya mawe,” amesema.
Habari Picha 9744
Ameeleza kuwa licha ya utajiri huo, wananchi wanaendelea kuishi katika umaskini uliosababishwa na uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
“Mungu ametupa ardhi kubwa nzuri kwa ajili ya kilimo na mifugo… ni nini utakachotaja hakipo? Lakini bado tuna umaskini. Hii ni kwa sababu ya CCM,” amesema.
Akizungumzia gharama kubwa za chakula, amesema suluhisho ni kuongeza uzalishaji na kupunguza bei za bidhaa sokoni.
“Kupanga ni kuchagua. Mimi nimechagua kilimo kwa sababu ardhi tuliyonayo si ya kuipigia magoti kwa Mchina wala Mmarekani,” amesema na kuongeza:
“Tuna mamilioni ya hekari za kulima miwa, tuna mbegu na tuna nguvu kazi ya kutosha, lakini kila mwaka tuna tatizo la sukari… hizo ndizo akili za CCM.”

You Might Also Like

MAIPAC Yagawa Bure  Majiko Ya Gesi Monduli, Lowassa Apongeza.             

Huduma ya Mahakama ya Mwanzo yasogezwa Wilaya ya Ubungo

Mipango Zaidi Msiba Wa Cleopa Msuya Kutolewa Na Serikali

China Yaendelea Kunufaisha Afrika, Wakati Marekani Ikikatiza Uwekezaji Katika Bara Hilo

Wanawake Taasisi za Kitafiti Watoa Furaha Kwa Waliojifungua, Madaktari, Manesi Kawe Kituo Cha Afya

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Utekelezaji Mradi Mkubwa Wa Maji Mwanza Wafikia Asilimia 35
Next Article MGOMBEA URAIS WA CCM AENDELEA NA KAMPENI BABATI, MANYARA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?