MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kudhamini Maonesho ya Nane ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani Geita.
Tuzo hiyo imetolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na kupokelewa na Meneja wa Idara ya Mawasiliano wa BoT, Victoria Msina, leo Septemba 22, 2025, katika Viwanja vya Dkt. Samia Suluhu Hassan vilivyoko Bombambili, Geita, ambapo Waziri Mkuu alifungua rasmi maonesho hayo.
Habari Picha 9527
BoT inashiriki katika maonesho hayo kwa lengo la kutoa elimu ya kifedha kwa wananchi pamoja na kusaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili.
Maonesho hayo, yaliyoanza Septemba 18, 2025, yamekusanya washiriki zaidi ya 600 kutoka ndani na nje ya nchi, wakiwemo wafanyabiashara, wananchi na wadau wa sekta ya madini, wakionesha teknolojia mbalimbali zinazotumika katika sekta hiyo.
Haya yamekuwa jukwaa muhimu kwa Serikali, sekta binafsi, wachimbaji wa madini wa viwango vyote, taasisi za kifedha, wajasiriamali na wadau wengine kujadiliana, kubadilishana uzoefu na kujifunza kutoka kwa wenzao.
Kaulimbiu ya maonesho kwa mwaka huu ni: “Ukuaji wa Sekta ya Madini ni Matokeo ya Matumizi ya Teknolojia Sahihi na Uongozi Bora. Shiriki Uchaguzi Mkuu Oktoba, 2025.”

You Might Also Like

JOWUTA Yataka Sheria Za Kazi Kuwalinda Wafanyakazi Katika Vyombo Vya Habari

Rais Samia Awakumbuka Wazazi Wanaojifungua Watoto Njiti

Kikosi Kazi Maalumu Cha Kupitia Muongozo Wa Ufasili Wa Sheria Chazinduliwa

Wanawake Tumieni Fursa Zilizopo Kufanya Biashara

Michezo Yapunguza Uhalifu Dodoma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Next Article Sekta Ya Madini Yazidi Kuchangia Ukuaji Wa Uchumi – Majaliwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?