MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: FCC Yawavutia Wawekezaji Kwenye Maonesho Ya IATF Nchini Algeria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > FCC Yawavutia Wawekezaji Kwenye Maonesho Ya IATF Nchini Algeria
Habari

FCC Yawavutia Wawekezaji Kwenye Maonesho Ya IATF Nchini Algeria

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

TUME ya Ushindani (FCC), imeshiriki Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika (IATF) yanayofanyika mjini Algiers, Algeria yaliyoanza Septemba nne hadi 10, mwaka huu 2025.

Aidha maonesho hayo yanawakutanisha wawekezaji na wafanyabiashara kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika kujadili ushirikiano na fursa za biashara.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa FCC, Roberta Feruzi amesema hayo katika maonesho hayo yanayomalizika kesho Septemba 10.

Habari Picha 9290

Amesema katika maonesho hayo FCC inatoa elimu kuhusu ushindani na ushajishaji wa uchumi kwenye soko nchini Tanzania.

Amesema jukumu la tume hiyo ni kuwaeleza wawekezaji kuwa Tanzania ni soko salama na lenye uwazi na ushindani wa haki.

“Tunatoa miongozo kwa wadau wanaotaka kushirikiana na kampuni za ndani katika kununua au kuungana kibiashara na tunarahisisha mchakato mzima.

“Kupitia ushiriki wake, Tanzania inalenga kutumia IATF kama jukwaa la kutangaza fursa, kuimarisha urahisi wa uwekezaji na kufungua milango ya ushirikiano wa kibiashara barani Afrika,” amesena.

Habari Picha 9292

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera, ameongoza ujumbe wa Tanzania akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Iman Njalikai, wametembelea Banda la Tanzania na kujadiliana na wawekezaji kuhusu fursa zilizopo nchini.

Habari Picha 9292

Mbali na FCC, taasisi nyingine kutoka Tanzania zinazoshiriki katika maonesho hayo ni pamoja na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE, Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Eneo Maalum la Uwekezaji Tanzania (TISEZA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA).

Pia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) na Mamlaka ya Ukuzaji Uwekezaji Zanzibar (ZIPA).

 

 

 

 

You Might Also Like

Wataalamu wa Tanzania, Kenya Watoa Ufafanuzi Kuhusu Maana Na Matarajio Ya Jumuiya Ya China, Afrika yenye Mustakabali wa Pamoja

TPHPA Yaelezea Vipaumbele Vyake

Thamani ya Fedha Ionekane Kwenye Utekelezaji wa Miradi-Nyamoga

Wagonjwa Wenye Maumivu Makali Kupatiwa Tiba Radiolojia MNH

Balozi Sirro: Bila Amani, Maendeleo Hayapo Kigoma

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wahitimu 3,561 wa Mafunzo Ya Huduma Za Afya Ngazi Ya Jamii,Wapatiwa Vitendea Kazi
Next Article Ndizi, Mchele, Mafuta Vyapanda Bei
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari
Habari September 13, 2025
Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba
Habari September 12, 2025
TEA Yatathmini Utekelezaji na Kupanga Mwelekeo Mpya Kupitia Baraza la Wafanyakazi
Habari September 12, 2025
Manara: Sitapambana na Wafanyabiashara, Nitawatetea
Habari September 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?