MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mpango Awaalika SADC Kutuma Timu ya Uangalizi wa Uchaguzi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mpango Awaalika SADC Kutuma Timu ya Uangalizi wa Uchaguzi
Habari

Mpango Awaalika SADC Kutuma Timu ya Uangalizi wa Uchaguzi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Philip Mpango, amesema maandalizi ya uchaguzi mkuu wa haki, huru na wazi yanaendelea vizuri nchini Tanzania
Hivyo ametoa  mwaliko kwa SADC kutuma timu ya waangalizi kwa uchaguzi huo utakaofanyika Oktoba ,  mwaka huu2025.
Habari Picha 8986
Akihutubia Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama jijini Antananarivo, Madagascar, leo Agosti 16, 2025, Dkt. Mpango amesema kuwa anaiwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano huo.
Ameeleza katika kipindi cha uenyekiti wa Tanzania kwenye Asasi hiyo, mafanikio mbalimbali yamepatikana, yakiwemo kudumishwa kwa utulivu katika ukanda wa SADC, isipokuwa eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambako juhudi za kutafuta suluhu zinaendelea.
Amesema jitihada hizo zinajumuisha majadiliano kupitia Mpango wa Luanda na Nairobi, pamoja na hatua zilizopitishwa na mikutano ya pamoja ya EAC na SADC.
Kupitia mikutano hiyo, jopo la Wazee wa Hekima limeundwa, timu za wataalamu kutoka EAC, SADC na AU zimeunganishwa, na utaratibu wa kushughulikia mgogoro huo umetayarishwa.
Amesisitiza kuwa suluhu za migogoro barani Afrika zinapaswa kuongozwa na Waafrika wenyewe, kwa dhamira na kujitoa kwa dhati.
Habari Picha 8987
Almeongeza kuwa Tanzania, katika kipindi cha uongozi wake, imeongoza programu mbalimbali za kuzuia na kusuluhisha migogoro, kupeleka vikosi vya kulinda amani kwenye maeneo yenye migogoro,
Pamoja na kuimarisha taasisi za kidemokrasia. Vilevile imeongoza timu za waangalizi wa uchaguzi katika nchi za Botswana, Namibia, Mauritius na Msumbiji.
Amehitimisha kwa kusema kuwa Tanzania imejitahidi kuhakikisha ukanda wa SADC unasalia kuwa salama na tulivu, na kuahidi kuendeleza ushirikiano na mwenyekiti mpya wa Asasi hiyo, Malawi.

You Might Also Like

Mchengerwa Apongeza Shule Ya Sekondari Kibaha Kwa Ufaulu Wa Hali Ya Juu

TARI Yaja Na Jawabu 88 Juu Ya Tindikali, Chumvi Kwenye Udongo

Dkt Biteko Awasili Barbados Kunadi Nishati Safi Kimataifa

Nishati Safi Ya Samia Yawafikia Wanawake chalinze

Rais Samia Awakumbuka Wazazi Wanaojifungua Watoto Njiti

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mwambungulu Asisitiza Ushirikiano Na Serikali
Next Article Wafanyabiashara: Tupo Tayari Kushirikiana na Serikali
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Madaktari Kutoka Ireland Watoa Matibabu Ya Mifupa Kwa Watoto MOI
Habari October 20, 2025
Mwalim: Nikichaguliwa urais, Kigaila atakuwa Waziri Mkuu wangu
Habari October 20, 2025
ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?