MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Manyara Kusambaza Mitungi 16,275 ya Gesi kwa Bei ya Ruzuku
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Manyara Kusambaza Mitungi 16,275 ya Gesi kwa Bei ya Ruzuku
Habari

Manyara Kusambaza Mitungi 16,275 ya Gesi kwa Bei ya Ruzuku

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amezindua rasmi zoezi la ugawaji wa mitungi ya gesi kwa bei ya ruzuku.
Uzinduzi huo umefanyika katika viwanja vya stendi ya zamani mjini Katesh, wilaya ya Hanang, ambapo jumla ya mitungi 3,000 imetolewa kwa wananchi kwa bei nafuu ya Sh. 17,500 kwa kila mtungi.
Akizungumza katika hafla hiyo, Sendiga amesema mpango huo ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, hasa kwa kaya za kipato cha chini.
Ameeleza kuwa mkoa mzima wa Manyara utapatiwa jumla ya mitungi 16,275 katika mpango huo wa ruzuku.
“Nia ya serikali ni kuhakikisha kila mwananchi anapata fursa ya kutumia nishati salama na rafiki kwa afya na mazingira.
“Hili pia litasaidia kupunguza matumizi ya kuni na mkaa ambayo yanaharibu mazingira na kuhatarisha afya,” amesema.
Amewaagiza Wakuu wa Wilaya wote kuhakikisha kuwa zoezi hilo linasimamiwa kikamilifu ili kuzuia mianya ya udanganyifu na ulanguzi.
“Hatutavumilia wafanyabiashara watakaojaribu kuongeza bei kinyume na makubaliano. Bei ya mtungi ni Sh. 17,500 kama ilivyopangwa,” amesema.
Sendiga ameipongeza Serikali kwa juhudi za dhati za kulinda mazingira na kuboresha maisha ya wananchi kupitia matumizi ya nishati mbadala.
Amesema kuwa ruzuku hiyo ni chachu ya kuhamasisha mabadiliko ya tabia kutoka matumizi ya kuni na mkaa kuelekea upishi salama unaotumia gesi.

You Might Also Like

Vyama Vya Wafanyakazi Himizeni Na Kufundisha  Amani Ya Nchi Kuelekea Uchaguzi Mkuu -Ridhiwan

Senene Waongezewa Thamani UDSM

NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe

Wananchi Uyui Wafurika Kumsubiri Mgombea Urais CCM

Wataalamu wa Tanzania, Kenya Watoa Ufafanuzi Kuhusu Maana Na Matarajio Ya Jumuiya Ya China, Afrika yenye Mustakabali wa Pamoja

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Sheria  300 Zimetafsiriwa Kwa Lugha Ya Kiswahili
Next Article FCC Yapongezwa Kukabili Bidhaa Bandia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

JOWUTA Yataka Wanahabari Wasajiliwe WCF
Habari May 26, 2026
Teknolojia ya Kuvuna Sumu ya Nyuki Yafungua Fursa Mpya Tanzania
Makala May 25, 2026
NIDA Kufanya Usajili Wa Watoto  Kuanzia Umri Wa Kuzaliwa,Kutoa Namba Maalum
Habari May 25, 2026
TPHPA Yatumia Mbinu za Kibaiolojia Kudhibiti Gugu Ziwa Victoria
Habari May 24, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?