MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UDSM  Yakamilisha Utafiti Wa Dawa Ya Kusafisha Sumu Kwenye Maji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UDSM  Yakamilisha Utafiti Wa Dawa Ya Kusafisha Sumu Kwenye Maji
Habari

UDSM  Yakamilisha Utafiti Wa Dawa Ya Kusafisha Sumu Kwenye Maji

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Lucy Lyatuu
CHuo Kikuu Cha Dar es Salaam )UDSM),TaasisiI ya Teknolojia imemaliza Kufanya Utafiti Wa dawa maalum ya kusafisha sumu kwenye maji  na  imebaini Ina Uwezo Wa Kuondoa sumu kwenye maji  kwa asilimia 93.5.
Mhadhiri  Msaidizi  kutoka Taasis Ya Teknolojia UDSM Veronica  Siwalima amesema  hayo katika Banda la UDSM lililoko katika maoneshobya 49 ya Biashara ya Kimataifa  maarufu kama Sabasaba yanayonyika Dar es Salaam.
Amesema  chini ya Mradi huo Wa kutafita dawa ya kusafisha maji unaojulikama kama BC5  umetafiti maji ya bahari ya Hindi kuanzia Pemba,Unguja,Dar es Salaam, na Mtwara kujua sumu zilizopo kwenye maji.
“Tumefanya Utafiti kuangalia sumu kwenye maji haswa kwenye miji mkubwa kama Dar es Salaam na Zanzibar iwapo imechafuliwa na sumu nzito na kutafita ufumbuzi Wa Kuondoa hizo sumu,” amesema na kuongeza kuwa Kuna bidhaa inaaitwa Carbonnone tubes ambazo ni malighafi za Kisasa zinazotumika Kuondoa sumu kwenye maji.
Amesema malighafi hizo zimetengenezwa viwandani haswa kwa nchi zilizoendelea na mbadala WA hizo unaweza kutumia chupa maalum za plastiki zinazoitwa polypolyn plastiki.
Amesema chupa hizo zinatumika kwa kuzichoma kutengeneza  gesi ambayo ndio inaondoa sumu kwenye maji na ilipotafitiwa ikabainika Kuondoa sumu  kwenye maji kwa asilimia 93.5.
“Pia tumechukua maji kutoka viwandani na maji ya mto Kizinga ambayo tumekuta  yamechafuliwa na sumu na dawa hiyo ikaweza Kuondoa sumu kwa asilimia 92”,amesema na kuongeza kuwa hivyo matarajio Yao yamefanikiwa ya namna ya Kuondoa sumu kwenye maji .
Amesema Kwa sasa wamemaliza kuangalia kuhusu hayoaji yalivyochafiliwa na wanatafita ithibati  kwa ajili ya kukubalika na kutumia  kwenye viwanda  Ili kutumia kusafishaaji Yao kabla ya kuyatiririsha..
Veronica amesema sumu hizo zilizoko kwenye maji ikiwemo Yale yanayotiririshwa  kutoka viwandani hutumia kumwagiliaboga za majani,baharini kwenye samaki hivyo hurudi kwa binadamu kutokana na matumizi.
“Hivyo kupitia Utafiti huo ni Waziri kuwa dawa hiyo Inawezesha kuwa suluhisho kwa wenye viwanda vinavyottitisha maji na hata baharini tukawa salama,” amesema na kuongeza kuwa athari zitokanazo na sumu hizo haswa sumu aina ya led ikiingia kwa binadamu husababisha saratani.
Ameishauri serikali kuboreshaa ma abara  za vyuo vikuu ziwe na Vifaa vyote Ili zirahisishe Kufanya tafiti kubwa na ndogo.

You Might Also Like

Mume na Mke Wafariki Kwa Wivu Wa Kimapenzi

Serikali Inaboresha Miundombinu Ya Umeme Kibiti Kuondoa Changamoto Za Umeme – Kapinga

Sera mpya ya biashara irahisishe ufanyaji biashara

Rais Samia Amehakikisha Elimu Ya Ufundi Stadi Inafikia Vijana Wote – Mkenda

‘Skills For Their Future’ Yanufaisha Wanafunzi Zaidi Ya 1000, Walimu 64 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rafiki Planter’Teknolojia Rahisi, Tija Kubwa”
Next Article BRELA Yatwaa Tuzo Sabasaba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TEA Yaweka Mikakati Madhubuti Kukuza Mafunzo ya Amali Nchini
Habari July 11, 2025
BRELA Yatwaa Tuzo Sabasaba
Habari July 11, 2025
Rafiki Planter’Teknolojia Rahisi, Tija Kubwa”
Habari July 11, 2025
Wazalishaji, Waagizaji Mbolea Watakiwa Kuzingatia Afya ya Udongo kwa Tija ya Kilimo
Habari July 11, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?