MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: DIT Mwanza   Kutoa Kozi Ya Kuchakata Ngozi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > DIT Mwanza   Kutoa Kozi Ya Kuchakata Ngozi
Habari

DIT Mwanza   Kutoa Kozi Ya Kuchakata Ngozi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Lyatuu
TAASISI Ya Teknolojia Dar es Salaam ( DIT) imesema inatoa  kozi ya  namna ya kuchakata ngozi kuanzia mnyama anapochinjwa na pia inafundisha vijana na Wajasiriamali  kutengeneza bidhaa za ngozi.
Mkufunzi Wa DIT kampasi ya Mwanza Sharif Mwangi amesema hayo wakati akizungumza katika Banda la DIT lililoko katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimaraifa maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema  kozi hiyo ni mpya ambapo mwanafumzi atasoma kwa miaka mitatu  ikilenga kutoa elimu  ya namna ya kuchakata ngozi pamoja na kutengeneza bidhaa za ngozi ikiwemo mikoba,, mipira na hata viatu.
“Pia tunatoa huduma kwa Wajasiriamali ambapo wakileta ngozi sisi TaasisiI huzichukua  na kuzichakata na kuwarudishia Ili waweze kutengeneza bidhaa tofautitofauti,” amesema Mwangi.
Ameongeza kuwa  pia DIT hutoa elimu  ya kiwango Cha shadada kwenye ngazi mbalimbali na kwamba ziko kozi 17 za nyanja tofautitofauti zikiwemo zile zinazohusu Teknolojia.
“Ni kozi ya miaka kitati na mwanafumzi aliyepata alama ya D katika masomonya Hesabu,Fizikia, kemia na baiolojia ndio wahusika wakuu,”amesema Mwangi.
Amesema  ngozi wanazotumia katika kutoa Mafunzo ni za wanyama kama ngombe,mbuzi lakini pia wakitumia nyara kama nyoka lakini wakiwa na Kibali maalum..

You Might Also Like

Tanzania Kushirikiana na Finland Uboreshaji Mbegu za Miti

Wafanyakazi fahamuni vihatarishi sehemu za kazi

Wajumbe TSC watakiwa kutembelea ofisi ngazi ya wilaya

Chalamila: Serikali Imewekeza Kupatikana Wataalamu Wa Usingizi, Yapunguza Vifo Vinavyotokana Na Upasuaji

Mara Yapaa: Miaka Minne Ya Mafanikio Chini Ya Rais Samia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TPDC  Yaibuka Mshindi Sabasaba Yapata Tuzo Ya Tano
Next Article VETA Yafanya Mageuzi Makubwa Yaliyowezesha Wengi Kuajiriwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

VETA kumpa nafasi Igobeko kuongeza ujuzi na kuwawezesha wengine
Habari August 23, 2026
Airtel Yajenga Darasa La Fursa Katika Shule Ya Sekondari Magaoni,Tanga
Habari August 23, 2026
Bunifu ya dawa ya mayai yapunguza hasara kwa wafugaji wa kuku
Makala August 22, 2026
Dkt Yonaz Awakumbusha Vijana Kulinda Afya Zao Katika Mapambano Dhidi Ya Ukimwi
Habari August 22, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?