MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: MAIPAC Yagawa Makoti Ya Usalama Kwa Wanahabari Kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > MAIPAC Yagawa Makoti Ya Usalama Kwa Wanahabari Kuelekea Uchaguzi Mkuu.
Habari

MAIPAC Yagawa Makoti Ya Usalama Kwa Wanahabari Kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Mwandishi Wetu
ARUSHA: TAASISI ya Waandishi wa habari ya kusaidia jamii za asili (MAIPAC),imeanza kutoa makoti ya usalama kwa ajili ya kutambuliwa wanahabari wakiwa kazini.
Makoti hayo yanatolewa kwa waandishi ambao ni wanachama wa MAIPAC ili kuwasaidia kufanyakazi katika mazingira salama kuelekea uchaguzi mkuu.
Mkurugenzi Mtendaji wa MAIPAC,Mussa Juma akizungumza wakati wa kugawa makoti hayo kwa waandishi wanachama waliopo Serengeti katika Taasisi dada ya MAIPAC ya __Serengeti Media_ amesema lengo la kutolewa makoti hayo ni kuwezesha wanahabari kufanyakazi katika mazingira salama.
Juma amesema, makoti hayo yametengenezwa na Mtandao wa watetezi wa haki za Binaadamu Tanzania(THRDC) na kutolewa kwa   Taasisi ya MAIPAC   ambayo ni mwanachama wa THRDC.
“THRDC kwa kushirikiana na MAIPAC tunapenda waandishi wa habari wakati wote kufanyakazi katika mazingira salama na makoti hayo wakivaa watawatambulisha hasa pale zinapotokea vurugu”amesema
Amesema MAIPAC pia kwa kushirikiana na THRDC itaendelea kutoa mafunzo ya ulinzi na usalama  kwa wanahabari na sheria na kanuni za Uchaguzi,  kuelekea chaguzi mkuu.
Mmoja wa waandishi wa taasisi ya _Serengeti Media_ iliyopo Serengeti mkoa wa Mara Agness Boma akizungumza baada ya kukabidhiwa makoti alishukuru MAIPAC na THRDC kutambua umuhimu wa usalama kwa wanahabari.
Boma amesema watatumia makoti hayo kufanyakazi kwa weledi bila kupendelea chama chochote katika uchaguzi mkuu ujao.
 Wakati huo huo, Juma amewataka waandishi wanachama wa MAIPAC kujisajili katika bodi ya Ithibati ili kutambuliwa kisheria na kufanyakazi kisheria za uandishi wa habari.

You Might Also Like

Ujenzi Jengo la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu Kuanza Kesho Dodoma

Dkt. Mashimba Achukua Fomu Ya Kuwania Nafasi Ya Ubunge

Tanzania, Belarus Zaanza Ukurasa Mpya wa Ushirikiano wa Kimkakati

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

Rais Samia Aongoza Waombolezaji Kutoa Heshima Za Mwisho Kwa Mbunge Ndungulile

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watafiti Watumia Mbinu Mpya Kudhibiti Mdudu Kantangaze Kwenye Nyanya Bila Viuatilifu
Next Article TPDC  Yaibuka Mshindi Sabasaba Yapata Tuzo Ya Tano
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?