MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Kihonda Waja Na Mashine Ya Kusaga Chumvi Sabasaba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Kihonda Waja Na Mashine Ya Kusaga Chumvi Sabasaba
Habari

VETA Kihonda Waja Na Mashine Ya Kusaga Chumvi Sabasaba

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: CHUO cha Ufundi Stadi (VETA), Kihonda mkoani Morogoro kimetengeneza mashine ya kusaga chumvi, kutoka kwenye mfumo wa mawe iwe kwenye chenga chenga ndogo ndogo.

Mkufunzi Mwandamizi wa Chuo hicho, Fredrick Uliki amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania kuhusu changamoto inayowakabili wakulima wa chumvi, katika maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara yajulikanayo kama Sabasaba yanayoendelea mkoani Dar es Salaam.

Urick amesema chuo hicho kimetengeneza mashine hiyo baada ya kubaini changamoto iliyokuwa ikiwakabili walimaji wa chumvi katika eneo la Bagamoyo Pwani na Lindi.

“Wanafunzi wetu walifika maeneo hayo wakakuta wakulima wengi wa chumvi hawana kifaa cha kuwarahisishia kusaga chumvi kutoka kwenye mfumo wa mawe iwe kwenye mfumo wa chenga ndogo ndogo ambazo tayari kwa ajili ya matumizi baada ya kuweka dawa ile ya madini joto.

“Kwa hiyo wanafunzi walivyofanya tafiti zao wakaja na mashine hii, na mashine hii sasa baada ya kuona kuna fursa sasa ya kibiashara ya kimataifa hapa tutapata watu wengi watakaohitaji huduma yetu,” amesema.

Amesema inawezekana maeneo mengine pia wana shida ya kusaga chumvi kama ilivyo hayo maeneo mawili, wakaweza kupanua wigo wa huo ubunifu na kuingiza kwenye biashara ili chuo kipate mapato ya kurejesha malighafi ambazo zimetengenezea mashine hiyo.

“Wajasiriamali wa chumvi wakisaga chumvi yao kwa kutumia mashine hii itawaongezea thamani, wataweza kufungasha katika ukubwa wowote na kuuza kwa bei ya juu zaidi, na ikakaa kwa namna ya usafi.

“Tunawakaribisha wajasiriamali hao wafike kwenye banda la VETA, wajionee walete familia zao waweze kusoma VETA,” amesema.

You Might Also Like

Rais Samia aungwa mkono na Tughe, watalii 800 watua Ngorongoro

Serikali Yaahidi Kupatia Dawa Kilio Cha Ushuru Kwa Malori

Changamoto ya uelewa mwiba kwa wasafirishaji Comoro

Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam

Wananchi Wahimizwe Ulipaji Kodi Kimtandao – Nyongo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Next Article TAWA Ni Mahali Sahihi Pa Uwekezaji  – Maganja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

PSPTB Yatangaza Usajili wa Mitihani ya 31 ya Kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi
Habari July 4, 2025
TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’
Habari July 4, 2025
TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Habari July 4, 2025
Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba
Habari July 4, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?