MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba
Habari

Wakili Kanyama Achukua Fomu Mtumba

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: WAKILI Msomi Anthony Kanyama amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge katika Jimbo jipya la Mtumba jijini Dodoma.
Kanyama amechukua fomu hiyo akiwa wa pili, baada ya aliyekuwa mbunge wa Dodoma Mjini Anthony Mavunde kuchukua fomu ya kuomba kugombea ubunge katika jimbo hilo.
Mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuomba ridhaa hiyo na Katibu wa CCM wilaya ya Dodoma Mjini, Sophia Kibaba, Kanyama amesema amefanya uamuzi huo kwa mujibu wa katiba ya chama na serikali.

You Might Also Like

Atoa Maelekezo Kwa Chuo Cha Hombolo Kuwajengea Uwezo Viongozi Wa Mitaa Na Vijiji -Kapinga

MOI Yaeleza Sababu Viungo Bandia Kuuzwa Kwa Bei Kubwa

Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika

AUWSA Kutibu Maji Taka Yatumike Kwenye Kilimo

Ridhiwani Ashiriki Kikao Cha Kazi Na Ajira Saudi Arabia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Madini Yaweka Rekodi Makusanyo Ya Maduhuli
Next Article Massawe Achukua Fomu Kugombea Udiwani Goba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Habari July 3, 2025
Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata
Habari July 3, 2025
VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti
Habari July 3, 2025
VETA Shinyanga Waja Na Mafunzo Ya Saluni, Mapambo, Urembo
Habari July 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?