MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari

Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: NAIBU Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile ametoa wito kwa wananchi kutowachagua wagombea wanaomba nafasi hizo kwa kutoa rushwa.
Amesema hayo alipotembelea banda la Mamlaka ya kupambana na kuzuia Rushwa TAKUKURU wakati wa maonesho ya wiki ya Utumishi katika viwanja vya chinangali Park Jijini Dodoma.
Amesema Serikali haitavumilia miradi yoyote inayoisimamia iwapo itabainika kuwa na viashiria vya rushwa.
Amesema  ni jukumu la TAKUKURU kuhakikisha nidhamu ya fedha inazingatiwa kikamilifu hususani katika kipilmdi cha kuelekea uchaguzi mkuu.
Pia amesema uwazi na uwajibikaji ni nguzo muhimu katika kuhakikisha rasilimali za umma zinatumika kwa tija na kwa faida ya wananchi wote, huku akiwataka watumishi wa umma kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda maslahi ya taifa.
Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Uelimishaji Umma – TAKUKURU Mkoa wa Dodoma, Faustine Malecha, amesema taasisi hiyo inatumia maonesho hayo  kuelimisha jamii kuhusu athari za rushwa kwenye uchaguzi na utekelezaji wa miradi ya umma.
“Tunahakikisha wananchi wanajengewa uelewa juu ya haki yao ya msingi ya kuchagua viongozi bora bila kushawishiwa kwa rushwa, kwani chaguo la viongozi kwa misingi ya hongo hudhoofisha maendeleo ya jamii nzima,” amesema.
Amesisitiza kuwa Taasisi yake imejipanga kusimamia nidhamu ya matumizi ya fedha za umma kwa karibu zaidi, ili kuhakikisha miradi ya maendeleo haigeuki kuwa mwanya wa kujipatia utajiri wa haramu.
“Tutashirikiana na Wananchi kuhakikisha kuwa kila hatua ya utekelezaji wa miradi inazingatia sheria, kanuni na maslahi ya taifa,” amesema

You Might Also Like

Thamani ya Fedha Ionekane Kwenye Utekelezaji wa Miradi-Nyamoga

Taasisi Za Umma Zasisitizwa Kuzingatia ubora Wa Mikataba Katika Utekelezaji Wa Majukumu Yao

TARI Yawafikia Wakulima Kilosa, Kilimo Shadidi Cha Mpunga

TTCL Kuboresha Mifumo Kwa Kutumia Teknolojia Za Kisasa

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Next Article NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?