MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho
Habari

JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imetoa mwezi mmoja mwezi mmoja kuanzia Mei 22 hadi Juni 21, mwaka huu kuomba kuthibitishwa na kupewa vitambulisho kwa Waandishi wote wanaofanya kazi ya kihabari nchini.

Usajili huo unafanyika kupitia Mfumo wa TAI – Habari.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa JAB, Patrick Kipangula amesema hayo katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari.

“Waandishi wanapaswa kujisajili kupitia kiunganishi kilichotolewa na JAB,

Vile vile amesema kutokana na uwepo wa uchaguzi Mkuu mwaka huu, waandishi wote wa habari watakaotekeleza majukumu ya kihabari yanayohusiana moja kwa moja na mchakato huo wa uchaguzi wanapaswa kuwa wamethibitishwa na bodi hiyo,

“Bodi inahimiza Waandishi wa Habari kutumia ipaswavyo muda uliotokLewa kujisajili na kupata vitambulisho,” amesema

You Might Also Like

TUGHE: Wafanyakazi wapewe haki ya kujiunga vyama vya wafanyakazi

Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva

‎ ‎EWURA  Yatoa  Leseni Za Mafundi Umeme  Zaidi Ya 1000

Kipanga: Lugha ya Kichina Inakuza Diplomasia, Kuimarisha Uhusiano

Samia Mgeni Rasmi Siku Ya Mashujaa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Hali Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mipaka Ni Salama
Next Article Soko La Kisasa La Nyamachoma Lazinduliwa Vingunguti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Utafiti wa Chakula Bora cha Kuku wa Nyama Watoa Tumaini kwa Wafugaji
Makala May 19, 2026
JWTZ Kulipa Fidia Wananchi Waliochukuliwa Maeneo
Habari May 19, 2026
Timu Ya Bunge Yakabidhiwa Vifaa Vya Michezo
Habari May 19, 2026
Ndoinyo Aishauri Serikali Kurejesha Utalii Vijijini
Habari May 19, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?