MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho
Habari

JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imetoa mwezi mmoja mwezi mmoja kuanzia Mei 22 hadi Juni 21, mwaka huu kuomba kuthibitishwa na kupewa vitambulisho kwa Waandishi wote wanaofanya kazi ya kihabari nchini.

Usajili huo unafanyika kupitia Mfumo wa TAI – Habari.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa JAB, Patrick Kipangula amesema hayo katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari.

“Waandishi wanapaswa kujisajili kupitia kiunganishi kilichotolewa na JAB,

Vile vile amesema kutokana na uwepo wa uchaguzi Mkuu mwaka huu, waandishi wote wa habari watakaotekeleza majukumu ya kihabari yanayohusiana moja kwa moja na mchakato huo wa uchaguzi wanapaswa kuwa wamethibitishwa na bodi hiyo,

“Bodi inahimiza Waandishi wa Habari kutumia ipaswavyo muda uliotokLewa kujisajili na kupata vitambulisho,” amesema

You Might Also Like

Posta Yaleta   Usafiri Wa Kitalii Ndani Ya Sabasaba

TUGHE: Wafanyakazi wapewe haki ya kujiunga vyama vya wafanyakazi

Majaliwa Asema Sekta ya Uvuvi Yaingiza trilioni 2.9 kwa Mwaka 

Msigwa Awataka Wakuu Wa Mikoa Kuandaa Maeneo Ya Upandaji Miti

TPHPA ina mchango mkubwa utoshelevu wa chakula – Profesa Ndunguru

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Hali Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mipaka Ni Salama
Next Article Soko La Kisasa La Nyamachoma Lazinduliwa Vingunguti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wizara Ya Kilimo Yajipanga Vema Maonesho ya Kimataifa Ya Biashara
Habari July 7, 2025
TARI Yabadilisha Kilimo kwa Teknolojia Mpya, Za Kisasa
Habari July 7, 2025
‘Jichunge’ Programu Ya Simu Yenye Mafanikio Katika Kuboresha Matumizi Ya Dawa Kinga Dhidi Ya VVU
Habari July 7, 2025
Toleo La Sheria Zilizotafsiriwa Kwa Kiswahili Kutoka Agosti
Habari July 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?