MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kongamano La Kwanza La Kodi Kufanyika Dar es Salaam
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kongamano La Kwanza La Kodi Kufanyika Dar es Salaam
Habari

Kongamano La Kwanza La Kodi Kufanyika Dar es Salaam

Author
By Author
Share
3 Min Read

– Kukutanisha Watunga Sera, Wafanya Biashara, Watafiti, Wataalam Wa Kodi

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM; CHUO cha Kodi (ITA), kimeandaa kongamano la kwanza la kodi litakalo wakutanisha watunga sera, wafanya biashara, watafiti na wataalam wa kodi kwa ajili ya kujadili mikakati ya kupanua wigo wa kodi na kuimarisha ulipaji kodi kwa hiari ili kuongeza mapato ya serikali.

Mkuu wa chuo hicho cha ITA, Profesa Isaya Jairo amesema hayo alipotoa taarifa kwa vyombo vya habari juu ya kongamano hilo litakalofanyika Dar es Salaam Mei nane, mwaka huu katika hoteli ya Rotana.

Amesema chuo hicho ambacho ni sehemu ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kimeandaa kongamano hilo lenye mada kuu isemayo , ” Kuongeza wigo wa kodi na kuimarisha ulipaji kodi kwa hiari Tanzania,”.

Amesema mada ambayo washiriki watajadili ili kupanua wigo wa kodi na kuimarisha sekta isiyo rasmi.

“Washiriki watajikita zaidi kujadili uimarishwaji wa ulipaji kodi kwa hiari na kuongeza wigo wa kodi, mtazamo wa sekta binafsi na wafanya biashara.

“Pia tutajadili mikakati ya urasimishaji na motisha kwa kulipa kodi kwa hiari,, Mada ndogo nyingine itakayojadiliwa ni ukwepaji wa kodi, wakijadili mada hii, washiriki watajikita zaidi katika mikakati ya utupwaji wa bidhaa hafifu kutoka nje ya nchi na kuongeza uhiari wa kulipa kodi,” amesema.

Amesema kongamano hilo linafanyika wakati TRA inafanya mageuzi mbalimbali katika kuongeza ulipaji wa kodi kwa hiari kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano,

Kupambana na ukwepaji wa kodi na kurasimisha sekta isiyo rasmi.

” Hata hivyo jitihada hizo zinaathiriwa na sekta isiyo rasmi kuchangia kiasi kidogo cha asilimia 45 katika pato la taifa wakati ikiwa na kiasi kikubwa cha nguvu kazi lakini chenye kiwango kidogo cha ulipaji kodi kwa hiari,” amesema.

Amesema matrajio yao ni kwamba kongamano hilo litaangalia mikakati ya kupanua wigo wa kodi, kupata utambuzi wa tabia katika kuongeza ulipaji kodi kwa hiari,

Kuchunguza njia za kuboresha usawa wa kodi na kupunnguza taratibu zisizo rasmi, kuimarisha ushirikiano kati ya wadau , kuteggemea matumizi ya teknolojia katika usimamizi wa kodi na kutengeneza mapendekezo ya sera yanayotekelezeka.

You Might Also Like

Profesa Mkenda Aitaka TAEC Kusomesha Watumishi

Serikali Kupeleka Umeme Maeneo Ya Kimkakati

Tume Ya Kurekebisha Sheria Tanzania Kuipitia Sheria Ya Takwimu

TARI Yakutanisha Wadau Kuwaeleza Matokeo Ya Tafiti Za Mbegu Wanazofanya

Wazazi washauriwa kusomesha watoto useremala

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kuhusisha Wanafunzi Matukio Ya Kisayansi, Kunawafanya Waipende 
Next Article Mnyororo wa Biashara Kariakoo Unafanywa Na Wageni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Madaktari Toka China Waleta Matumaini Barani Afrika
Makala May 16, 2025
Maziwa Kukuza Uchumi Wa Wafugaji
Habari May 16, 2025
Wizara Ya Madini Kununua Chopa, Kufanya Utafiti
Habari May 15, 2025
Jaffo Aagiza Kufufuliwa Vilivyokuwa Viwanda Vya Serikali
Habari May 15, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?