MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Miaka Minne Ya Samia, TANESCO Yajivunia Kudhibiti Upotevu Wa Umeme
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Miaka Minne Ya Samia, TANESCO Yajivunia Kudhibiti Upotevu Wa Umeme
Habari

Miaka Minne Ya Samia, TANESCO Yajivunia Kudhibiti Upotevu Wa Umeme

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA:SHIRIKA la Umeme Tanzania  (TANESCO) limefanikiwa kudhibiti upotevu wa umeme kutoka asilimia 15.3 kwa mwaka 2021 hadi asilimia 14.54 kwa mwaka 2025.
Udhibiti huo ni mafanikio makubwa yaliyopatikana kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),  Gissima Nyamo – Hanga alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Ofisi za Idara ya Habari – MAELEZO, jijini Dodoma.
Amesema Shirika hilo lilikuwa likikumbana na upotevu wa umeme kwa kiwango hicho lakini kutokana na juhudi za serikali iliyopo madarakani imefanikisha kupunguza upotevu wa umeme njiani.
Mkurugenzi huyo amesema hatua ya kupunguza upotevu wa umeme inaongeza tija ya matumizi ya nishati hiyo kuwa ya uhakika na kurahisisha shughuli za watumiaji wa nishati hiyo muhimu.
Mafanikio mengine ya TANESCO ni kuongezeka kwa vituo vya kupokea na kupoozea umeme kutoka vituo 128 kwa mwaka 2021 hadi kufikia vituo 139 kwa mwaka 2025.
Amesema l hatua hiyo ni kubwa ambayo inatoa urahisi wa kutoa umeme mkubwa sehemu moja na kuupeleka katika vituo vya kupozea umeme na kuwa tayari kwa mlaji au mtumiaji.
Vile vile amesema sababu za kukatika  kwa umeme katika treni ya mwendakosi (SGR) inatokana na  ugeni wa kuwepo kwa usafiri huo nchini.
Amesema ili kumaliza changamoto hiyo Shitika lipo mbioni kuanzisha Mkoa maalumu kwa ajili ya kushughulikia changamoto za umeme katika treni hiyo.
Amesema hatua hiyo itatatua  changamoto hiyo,  pia atakuwepo Meneja Uratibu ambaye atakuwa akishughukia mradi  huo pekee pamoja na timu maalumu.
Amesema kwa kipindi cha mwaka 2021 wateja walikuwa milioni 3.1 na kufikia mwaka 2025 wateja ni milioni 5.39 sawa na ongezeko la wateja wapya milioni 2.2 ndani ya miaka minne.

You Might Also Like

Ubunifu Na Kufanya Tafiti Kwawezesha UDOM Kupokea Tuzo

Wanafunzi Shule Ya Anlex, Walimu Wao Watinga Bungeni

TUCTA Yafuatilia Hotuba Ya Waziri Mkuu Bungeni

Mamlaka Ya Elimu Tanzania Yaimarisha Ushirikiano Na Wadau Wa Maendeleo Ya Elimu

Lukuvi Asema 2024 Bangi Ilivunja Rekodi, Tani Zaidi Ya 2000 Zilikamatwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mawakili Wa Serikali Watakiwa Kuzingatia Katiba Ya Nchi Wanapoandika Sheria
Next Article BRAC Tanzania: Upo Umuhimu Sekta Binafsi, Serikali Kushirikiana
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Huduma za Maktaba Zabadilika: Malipo Kidijitali, Usomaji Mtandaoni
Habari November 25, 2025
Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?