MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ofisi Zote Dodoma Kutoa Ushirikiano Kwa Watangazaji-RC
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ofisi Zote Dodoma Kutoa Ushirikiano Kwa Watangazaji-RC
Habari

Ofisi Zote Dodoma Kutoa Ushirikiano Kwa Watangazaji-RC

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Lyatuu, Dodoma
MKUU wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema ofisi zote za mkoa huo ziko tayari kushirikiana na vyombo vya utangazaji nchini ili kurahisisha kazi na kuwezesha kazi zenye tija.

Amesema hayo leo katika mkutano wa mwaka wa vyombo vya utangazaji nchini unaofanyikankwa siku mbili katika mkoa wa Dodoma.

Amesema vyombo vya utangazaji vina ushirikiano kuufanya mkoa wa Dodoma kujulikana duniani ikwa kuandika na kutangaza yale mema ili kujulikana jambo litakaloleta maendeleo.

Amesema mkoa wa Dodoma unakua kwa kasi sana, na hilo limewezekana kutokana na jitihada za Rais Samia Suluhu Hassab kwani amewekeza kwa kiasi kikubwa kutoa heshima kwa watanzania kwa kuweka miradi mikubwa ya kimkakati ya kimakao makuu katika mkoa huo.

Amewashauri watangazaji kutokaikoabalimbali nchini waliokutana mkoani Dodoma kutembelea maeneo mbalimbali kuona kazi iliyofanywa na Rais Samia.

“Baadhi ya miradi ni iliyotekelezwa na Rais Samia ninpamoja na trenibya kisasa inayotumia umeme ya SGR, ukamilishwaji wa mji wa serikali, pamoja na mengi mengine, ” Amesema.

Amesema mbali ya miradi hiyo leo kuna mahakama ya makao makuu ambayo imekamilika ikiwa na jengo bora kwa Afrika pia ukamilishaji wa Chuo cha Ufundi cha Dodoma , Uwanja wa Ndege ikiwa ni miradi ya miradi ya kimkakati.

You Might Also Like

TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita

Serikali  Kuja Na Mradi  Wa Kuimarisha Upatikanaji Umeme Vitongojini- Kapinga 

Afrika ijadili changamoto sekta ya utalii – UN

Serikali imejipanga Mkakati wa Taifa wa Matumìzi ya nishati safi ya kupikia – Mramba

Fursa za Uwekezaji Kanda ya Ziwa: Buzwagi na Maeneo Mengine ya Kimkakati

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Yatumia Wiki Ya Nishari India Kunadi Vitalu Vya Mafuta Na Gesi Asilia
Next Article Chuo Cha VETA Chazindua Mradi Wa Biogas
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?