MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.
Habari

Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: SERIKALI ya Tanzania imeihakikishia Uingereza, kuendeleza ushirikiano kwenye sekta ya madini hususani katika kujengea uwezo watu wake, kubadilishana uzoefu, uongezaji thamani madini na kuwekeza kwenye kufanya tafiti mbalimbali ili kukuza sekta hiyo.
Vile vile kupanua mnyororo wa thamani ili kuongeza ajira na kuchangia katika ukuaji wa pato la taifa.
Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema hayo Mkoani Dar es Salaam, alipofanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Marianne Young.
Amesema katika mazungumzo hayo wamekubaliana kuwajengea uwezo watu wake na kubadilishana uzoefu hususani katika Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini nchini (GST) na British Geological Survey (BGS) ya Uingereza.
Eneo lingine la ushirikiano amesema ni lile la uongezaji thamani madini mkakati ambapo Tanzania imejipanga kuhakikisha inavutia uwekezaji wa ujenzi wa viwanda vya kuongeza thamani.
“Tupo katika hatua za mwisho kukamilisha mkakati huu maalum wa madini mkakati na muhimu ambao pia ni sehemu ya Kampeni ya Dunia katika kupunguza hewa ya ukaa kupitia matumizi ya nishati safi,” amesema.
Akizungumza katika Mkutano huo Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Young amesema Uingereza inapongeza jitihada kubwa za kukuza sekta ya madini zinazofanywa na serikali ya Tanzania.
Balozi huo ameahidi kuimarisha ushirikiano baina ya nchi hizo hasa katika kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo.
Amesema Uingereza itashirikiana na Tanzania kwa ukaribu ili malengo hayo yatimie.

You Might Also Like

Maadhimisho Ya VETA Ya Miaka 30 Kuhitimishwa Machi 18 Hadi 21, DSM

Kongamano  La Kimataifa La Jotoardhi Laanza Kwa Mafanikio

PSSSF sasa kidijitali

Rais Samia akagua gwaride maalum

TRA Kupambana Na Wakwepa Kodi Kupitia Bandari Bubu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa
Next Article TPHPA Tumejiimarisha Kudhibiti Visumbufu Vya Mazao – Ndunguru
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?