MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Walimu Wanaofundisha Lugha Ya Kichina Tanzania Wakutana
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Walimu Wanaofundisha Lugha Ya Kichina Tanzania Wakutana
Habari

Walimu Wanaofundisha Lugha Ya Kichina Tanzania Wakutana

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: UFUNDISHAJI wa lugha ya kichina nchini Tanzania na Bara la Afrika umeongeza kuimarika kwa uhusiano wa kidiplomasia, kiuchumi na kiutamaduni kati ya China na bara hilo.
Mkurugenzi Mtanzania Taasisi ya Kichina ya Confucius Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Aldin Mutembei amesema hayo alipokuwa akifungua warsha ya walimu wa lugha ya kichina nchini Tanzania iliyofanyika UDSM.
Profesa Mutembei amesema ufundishaji huo unatokana na ukweli kuwa lugha ni chombo muhimu cha kukuza maelewano kwani watanzania na waafrika wengine wanapata uelewa wa kina wa utamaduni wa China, historia na mtazamo wa dunia ambao ni muhimu kwa ajili ya kuimarisha diplomasia na kukuza uhusiano wa kirafiki kati ya China na mataifa ya Afrika.
Amesema warsha hiyo itaamsha majadiliano, kubadilishana mawazo na kuimarisha dhamira ya kuendeleza elimu ya lugha ya kichina nchini Tanzania.
Naye Mkurugenzi wa Taasisi hiyo ya Confucious, Profesa Zhang Xiaozhen amesema katika warsha hiyo walimu wa kichina wanaofundisha lugha hiyo hapa nchini na wengine waliotoka nchini China wameshiriki.
Walimu hao wa kichina hapa nchini wanafundisha lugha hiyo chuoni UDSM, Chuo Kikuu Dodoma ( UDOM), Zanzibar na shule za msingi na sekondari mbalimbali nchini.

You Might Also Like

Ajira kwa Vijana na Afya kwa Wazee: Ajenda Kuu za Wagombea Jimbo la Dodoma Mjini

Epukeni Mikopo Inayowafilisi,Tumieni Taasisi Zinazotambulika Na BOT – Mkuu Wa Wilaya Komba

Jeshi La Uhifadhi Wasisitizwa Kuzingatia Misingi ya Haki za Binadamu

Serikali Kukarabati Vituo Vyote Vya Kutolea Huduma Za Afya Kongwe

JAB yawaonya wanaofanya kazi za kihabari bila ithibati

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kilimo Shadidi Kinapunguza Uzalishaji Wa Gesi
Next Article TAFIRI Wakabiliana Na Mabadiliko Ya Tabianchi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?