MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Apongeza Kurudi Kwa Gazeti La Mfanyakazi TANZANIA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani Apongeza Kurudi Kwa Gazeti La Mfanyakazi TANZANIA
Habari

Ridhiwani Apongeza Kurudi Kwa Gazeti La Mfanyakazi TANZANIA

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

WAZIRI Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete amesema wafanyakazi wasipokuwa na chombo kinachoelezea mambo yao, watakuwa hawajajitendea haki.

Aidha amepongeza kurejea kwa gazeti la Mfanyakazi TANZANIA, ambalo lilikuwepo zamani likafa kisha limerudi tena.

Ridhiwani amesema hayo kwenye ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), jijini Dodoma alipokuwa akizungumzia kuanza tena kuchapishwa kwa gazeti la Mfanyakazi TANZANIA ambalo siku za nyuma lilikuwepo.

Amesema sio tu kwa wafanyakazi kuwa na chombo chao cha habari, bali hata wale wasio wafanyakazi watanufaika kupitia chombo hicho kwa kupata taarifa zinazohusu maslahi ya wafanyakazi, na taarifa nyingine.

“Uzinduzi kwanza wa gazeti la Mfanyakazi ni jambo kubwa sana, mambo mengi yanafanyika katika nchi, wafanyakazi kama hawatakuwa na chombo kinachowaelezea mambo yao hata wasio wafanyakazi wakapata taarifa za maslahi ya wafanyakazi watakuwa hawajajitendea haki,” amesema Ridhiwani.

Amesema endapo vyombo vya habari vikitumika vizuri vina nguvu ya kuunganisha, vikitumika vibaya vitabomoa.

Akimkaribisha Waziri Ridhiwani katika Mkutano huo, Rais wa shirikisho hilo Tumaini Nyamhokya amesema gazeti hilo limerudi tena.

Pia amesema katika mkutano huo, waliazimia litoke toleo maalum la mkutano.

Amesisitiza kuwa gazeti hilo litakuwa linaendelea kutoka na kwamba matamanio yao wangependa litoke mara mbili kwa wiki.

You Might Also Like

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

Ridhiwani akutana na Mtendaji Mkuu ATE

TPHPA Yanunua Ndege Kudhibiti Visumbufu Vya Mazao

Serikali Imetoa Ruzuku Ya Asilimia 20 Hadi 50 Kwenye Mitungi YA Gesi – Kapinga

Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article RC Serukamba Aiunga Mkono REAUgawaji Wa Mitungi Ya Gesi Iringa
Next Article Ridhiwani: Ili Kufikia Muafaka Masuala Ya Kazi, Serikali Inahimiza  Vyombo Vya Mashauriano
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

  Tanesco Yagawa Zawadi Ya Majiko Sabasaba Kuhimiza Matumizi Nishati Safi
Habari July 8, 2025
Bahari  Ina Fursa Nyingi Zisizofahamika-Tasac
Habari July 8, 2025
VETA Yafanya Mageuzi Makubwa Yaliyowezesha Wengi Kuajiriwa
Habari July 8, 2025
DIT Mwanza   Kutoa Kozi Ya Kuchakata Ngozi
Habari July 8, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?