MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TARURA Yaunganisha Vijiji Vya Ifinisi, Kambanga na Bugwe Wilayani Tanganyika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TARURA Yaunganisha Vijiji Vya Ifinisi, Kambanga na Bugwe Wilayani Tanganyika
Habari

TARURA Yaunganisha Vijiji Vya Ifinisi, Kambanga na Bugwe Wilayani Tanganyika

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KATAVI: SERIKALI imetoa Sh. Bilioni 1.5 kwa ajili ya ujenzi wa madaraj, vivuko na kufungua barabara inayoanzia Kambanga-Ifinsi mpaka Kijiji cha Bugwe ambapo imewezesha wananchi kusafirisha mazao yao kwa urahisi.
Kaimu Meneja wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mkoa wa Katavi, Japhet Bengesi ameishukuru serikali kwa jitihada hizo.
Amesema fedha hizo zimewezesha kukamilisha ujenzi wa vivuko na daraja la Mto Mnyamasi lenye urefu wa mita 20 pamoja na kufungua barabara ya Kambanga-Ifinsi yenye urefu wa Kilomita 37 inayounganisha vijiji vya Ifinsi, Kambanga na Bugwe vilivyopo kata ya Tongwe Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi.
“Kikwazo kikubwa kilikuwa katika mto Mnyamasi ambalo ni eneo la bonde hapo awali hakukuwa na mawasiliano lakini kutokana na juhudi za serikali kutuletea fedha, tumeweza kujenga makalavati ya ukubwa tofauti saba na barabara unganishi ambapo imekuwa mkombozi mkubwa maana hili ni eneo kubwa sana la uzalishaji,” amesema.
Naye Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mnyamasi, Ngisa Muyanga ametoa shukrani kwa kuwatengenezea barabara hiyo ambayo hapo awali ilipitika kwa shida.
“Tulikuwa tunavuka kwenye maji kipindi cha masika, wakina mama walikuwa wanajifungulia njiani magari yalikuwa hayapiti na tulikuwa tunashindwa kusafirisha biashara zetu, lakini kwa sasa tunaishukuru serikali, watu wanavuka kwa urahisi na magari yanapita katika vipindi vyote,” amesema.
Wakati huo huo Mkazi wa kijiji cha Ifinsi, Ibrahimu Temi amesema, kipindi cha nyuma miundombinu ilikuwa tabu walikuwa wanabeba magunia yenye mazao mabegani kuvuka ng’ambo, lakini sasa magari yanaingia kijijini.

You Might Also Like

China Yafundisha Wanafunzi DIT kuzifikia fursa

Dkt Biteko Awasili Barbados Kunadi Nishati Safi Kimataifa

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Waandishi Watakiwa Kuandika Kwa Usahihi

Wanawake Pelekeni Batiki Kwenye Soko Huru La Afrika

Bunge lapitisha muswada marekebisho ya sheria za Hifadhi ya Jamii

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Maboresho Mfumo wa Sheria Zinazosimamia Uwekezaji Kuchochea Uwekezaji Nchini
Next Article Mafunzo Yatolewa Katika Kongamano La Jotoardhi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?